Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Inaonekana wewe una hasira kwa baadhi ya watu unaowaona wako weak kwako
Yaani kwa kifupi unaoweza kuwaonea unawaonea haswa (Bulling)
Sasa akitokea mtu mkorofi unaunywea
Huyu siku akikutukana au kukasirika zaidi yako utapoa mwenyewe
Ushauri jifunze kuwa mvumilivu maana Subira ni Uungwana
Kama nimekutasiri vibaya nikuomba radhi na huu pia ni Uungwana
Yaani kwa kifupi unaoweza kuwaonea unawaonea haswa (Bulling)
Sasa akitokea mtu mkorofi unaunywea
Huyu siku akikutukana au kukasirika zaidi yako utapoa mwenyewe
Ushauri jifunze kuwa mvumilivu maana Subira ni Uungwana
Kama nimekutasiri vibaya nikuomba radhi na huu pia ni Uungwana