π€£π€£Weee kapisi weweπ€πππ
Hamna kitu kama hicho. Huo ni ubemendaji na ukosefu wa adabu.Hahaha...........basi iwe fair nanyi pia mkidetiwa na hao teenagers π
[emoji23][emoji23][emoji23]Gong'ole wewe.
Bora mbaki na huo msimamo, muendelee kutulea Wazee Wazee wenu ππHamna kitu kama hicho. Huo ni ubemendaji na ukosefu wa adabu.
Karibu kwangu baby nakupenda sana siwezi kuishi bila weweNina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu, lakini kumbe kanidanganya kuhusu umri wake. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1994, na yeye ni mwanaume, kazaliwa mwaka 1998. Nimegundua hili baada ya kuona cheti chake cha kuzaliwa.
Leo nimekaa chumbani, nalia na mto wangu tu, nikiwa na maumivu makubwa. Nimedanganywa! Nimedanganywa jamani! Aaaah! Nalia Mimi mwezenu kwa sababu nilimpenda sana mwanaume huyu na sasa nashindwa kuendelea na maisha bila yeye. Yoyo, nifanyeje? Nimedanganywa... angalieni hizi chati jamani! Yoyo, amenipotezea muda wangu.
Ninajiuliza nitampata wapi mtu wa umri wangu ambaye nitampenda? Mapenzi ni kitu kigumu; unaweza kumpata mtu wa umri wako lakini asikuvutie hata kidogo. Nimechanganikiwa jamani, nisaidieni mwezenu tafadhali.
Kwa uzee gani bwana we!!Bora mbaki na huo msimamo, muendelee kutulea Wazee Wazee wenu ππ
Chekibobu langu lenyewe,linamumunya kibintiπππ
Hahaha........umefanya nicheke Babu yako π€Kwa uzee gani bwana we!!
Wewe nae uko kwenye kundi la kubemendwa π€£π€£π€£
Utabemendwa we mtotoπ€£π€£Hahaha........umefanya nicheke Babu yako π€
We huogopi Mvi zetu Wazee zilizotapakaa Kila mahali π
Hebu kwanza niletee Kiko nivute Babu yako π€
Hahaha............hivi mtoto Kwa Kiinglish ndiyo wanaita "baby" eeh??π€Utabemendwa we mtotoπ€£π€£
Unadanganya umri unakuja jf kulalamika watu tumedanya watotoNina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu, lakini kumbe kanidanganya kuhusu umri wake. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1994, na yeye ni mwanaume, kazaliwa mwaka 1998. Nimegundua hili baada ya kuona cheti chake cha kuzaliwa.
Leo nimekaa chumbani, nalia na mto wangu tu, nikiwa na maumivu makubwa. Nimedanganywa! Nimedanganywa jamani! Aaaah! Nalia Mimi mwezenu kwa sababu nilimpenda sana mwanaume huyu na sasa nashindwa kuendelea na maisha bila yeye. Yoyo, nifanyeje? Nimedanganywa... angalieni hizi chati jamani! Yoyo, amenipotezea muda wangu.
Ninajiuliza nitampata wapi mtu wa umri wangu ambaye nitampenda? Mapenzi ni kitu kigumu; unaweza kumpata mtu wa umri wako lakini asikuvutie hata kidogo. Nimechanganikiwa jamani, nisaidieni mwezenu tafadhali.
Sasa mtoto mdogo hivyo unakuwa na mvi ni laana au? Hakikisha ziambatane na pesa.Hahaha............hivi mtoto Kwa Kiinglish ndiyo wanaita "baby" eeh??π€
Utafanya niendelee kupaka Piko nywele zangu zenye Mvi ili nifaidi kuitwa hayo Majina.
Maana nakumbuka mara ya mwisho niliitwa baby na Bibi yenu Mwaka 47 π π imagine