Mpenzi wangu alinidanganya umri

Cold water umekutana na hot water na kashakujibu kwani haipiti dadeq [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ndimu sana.!!
Kavu sana huyo dogo [emoji81]
Shangazi tulia dogo akuperepetue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiii khaaaah
 
Una miaka 30 sasa pumbaf wewe.. Sasa endelea kutafuta wa umri wako uone kama utampata.. Na ninakuambia kabisa. Ukimuacha huyo dogo jiandae kuwa singo Maza mbeba waume za watu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watoto wa 98 ndo zao wanapenda wanawake waliowazidi umri.
Mimi binafsi sioni shida kama mnapendana mana unaweza pata la 87 halafu masharti mengi kama unaomba mkopo ASA
 
Watoto wa 98 ndo zao wanapenda wanawake waliowazidi umri.
Mimi binafsi sioni shida kama mnapendana mana unaweza pata la 87 halafu masharti mengi kama unaomba mkopo ASA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu babu wa mchongo mwenyewe muongo hajanimpesa mpaka sasa😭😭😭

We dogo Grahams njoo hapa!
Serious unamuita dogo....
Ahahahah kama atakua dogo kweli..

Naamini atakua ni wa hovyo sana aiseeeee ahahaha kwa mada anazoteteaga huku ndani
 
Kwani umri ndio unakula papuchi we furahia lako
 
Leo nimekaa chumbani, nalia na mto wangu tu, nikiwa na maumivu makubwa. Nimedanganywa! Nimedanganywa jamani! Aaaah! Nalia Mimi
Kwelikuwa uyaone...yaani kudanganywa umri unalia....subir siku utakapomkuta juu ya kifua cha Salma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…