cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama anayamudu mambo ya msingi ikiwemo mgegedo jaribu kunyamaza!
Soko ni gumu sana huku nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama anayamudu mambo ya msingi ikiwemo mgegedo jaribu kunyamaza!
Soko ni gumu sana huku nje.
Age aint a thing, but a number. Aendelee na mapenzisasa shida ni nini kudanganywa au kuliwa na mtoto??
mashangazi wasione huu uzi aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiii khaaaahCold water umekutana na hot water na kashakujibu kwani haipiti dadeq [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ndimu sana.!!
Kavu sana huyo dogo [emoji81]
Shangazi tulia dogo akuperepetue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una miaka 30 sasa pumbaf wewe.. Sasa endelea kutafuta wa umri wako uone kama utampata.. Na ninakuambia kabisa. Ukimuacha huyo dogo jiandae kuwa singo Maza mbeba waume za watu..
Hahahaha.................utaniambia sehemu ya kuweka 😜Ya 38 inadaiwa babu, usitume huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watoto wa 98 ndo zao wanapenda wanawake waliowazidi umri.
Mimi binafsi sioni shida kama mnapendana mana unaweza pata la 87 halafu masharti mengi kama unaomba mkopo ASA
Ahahahah kumbe unadanganywa toto sio🤣🤣🤣 Nikipewa hela tu, nakukana.
Serious unamuita dogo....
🤣🤣🤣 Anateteaga mada gani?Serious unamuita dogo....
Ahahahah kama atakua dogo kweli..
Naamini atakua ni wa hovyo sana aiseeeee ahahaha kwa mada anazoteteaga huku ndani
Ahahaha bado ujakutana nae kwenye 18 aiseee...🤣🤣🤣 Anateteaga mada gani?
Unataka upewe lazi na Wazee?
Kuweni na imani na Wazee 🤗Ahahahha daaah aiseee....
Kumbe anatuchora humu
Sema na wewe ukute ujapewa kazawadi ndo mana unasema ni mtoto ahahaha
Pamoja na Mvi zote hizi za Uzee unaniita Yanki? 🤗Mzee wa wapi!! Huyo yanki tu aloamua kujivika uzee. Asijali, ataufikia tu.
Kwelikuwa uyaone...yaani kudanganywa umri unalia....subir siku utakapomkuta juu ya kifua cha Salma!Leo nimekaa chumbani, nalia na mto wangu tu, nikiwa na maumivu makubwa. Nimedanganywa! Nimedanganywa jamani! Aaaah! Nalia Mimi