Babu acha janja janja, nimekudipu kabisa ukakausha😭😭Unataka upewe lazi na Wazee?
Hujatuma namba, ungewezaje kuona muamala wa Babu lakini😜🤗
Hili sikubishii🤣🤣🤣Nimekula chumvi nyingi ujue 😜
Yupo kaziniKudanganywa umri ndio unalia.. Huna kazi?
Sio chumvi hiyo Mjukuu.......ni chumvi ile ya Lindi 🤗Hili sikubishii🤣🤣🤣
Tayari Mjukuu, angalia Salio 😜Babu acha janja janja, nimekudipu kabisa ukakausha😭😭
WE nawe mjinga!!?Nina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu, lakini kumbe kanidanganya kuhusu umri wake. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1994, na yeye ni mwanaume, kazaliwa mwaka 1998. Nimegundua hili baada ya kuona cheti chake cha kuzaliwa.
Leo nimekaa chumbani, nalia na mto wangu tu, nikiwa na maumivu makubwa. Nimedanganywa! Nimedanganywa jamani! Aaaah! Nalia Mimi mwezenu kwa sababu nilimpenda sana mwanaume huyu na sasa nashindwa kuendelea na maisha bila yeye. Yoyo, nifanyeje? Nimedanganywa... angalieni hizi chati jamani! Yoyo, amenipotezea muda wangu.
Ninajiuliza nitampata wapi mtu wa umri wangu ambaye nitampenda? Mapenzi ni kitu kigumu; unaweza kumpata mtu wa umri wako lakini asikuvutie hata kidogo. Nimechanganikiwa jamani, nisaidieni mwezenu tafadhali.
Kwani chumvi gani ambayo sio hiyo?Sio chumvi hiyo Mjukuu.......ni chumvi ile ya Lindi 🤗
Babu hela utakuwa umemtumia mchepuko wewe, mie kwangu salio ni 0.09Tayari Mjukuu, angalia Salio 😜
Ndio mpo nyie sasa.Hakuna Mzee mwenye miaka 79 kama yangu halafu akawa wa hovyo🤗
Angalieni tulivyo na hekima kama zilivyo Mvi zetu 🤗
inatakiwa akamatweUmetubakia kijana wetu.....hii sio sawa na haikubaliki
Timing....Nina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu, lakini kumbe kanidanganya kuhusu umri wake. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1994, na yeye ni mwanaume, kazaliwa mwaka 1998. Nimegundua hili baada ya kuona cheti chake cha kuzaliwa.
Leo nimekaa chumbani, nalia na mto wangu tu, nikiwa na maumivu makubwa. Nimedanganywa! Nimedanganywa jamani! Aaaah! Nalia Mimi mwezenu kwa sababu nilimpenda sana mwanaume huyu na sasa nashindwa kuendelea na maisha bila yeye. Yoyo, nifanyeje? Nimedanganywa... angalieni hizi chati jamani! Yoyo, amenipotezea muda wangu.
Ninajiuliza nitampata wapi mtu wa umri wangu ambaye nitampenda? Mapenzi ni kitu kigumu; unaweza kumpata mtu wa umri wako lakini asikuvutie hata kidogo. Nimechanganikiwa jamani, nisaidieni mwezenu tafadhali.
Hebu nidibu Mjukuu, huenda nakosea kunakili namba 😜Babu hela utakuwa umemtumia mchepuko wewe, mie kwangu salio ni 0.09
Babu acha janja janja basi😀Hebu nidibu Mjukuu, huenda nakosea kunakili namba 😜
Hii ni definition mpya ya kubaka.....!Umetubakia kijana wetu.....hii sio sawa na haikubaliki
Nina Kijana wangu wa kwanza anafanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu.Babu acha janja janja basi😀
Walinzi wamenirudisha getini😭😭😭Nina Kijana wangu wa kwanza anafanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu.
Tafadhali fika akupatie kamili kamili
Nilichelewa kumpatia taarifa ya Ujio wako pale, tafadhali fika kabla ya muda wa kazi kuisha atakuhudumia 🤗Walinzi wamenirudisha getini😭😭😭