Mpenzi wangu amejisaidia haja ndogo kitandani, kumuuliza akasema ni bahati mbaya

Mpenzi wangu amejisaidia haja ndogo kitandani, kumuuliza akasema ni bahati mbaya

Humpendi, ungekuwa unampenda wala usingekumbuka kama kakojoa kitandani!
 
Tatizo dogo sana hilo na linatibika. yawezekana hujapenda wew ndo maana unamjadili.
wenzio tunamiliki wenzi ambao wana gonjwa halitibiki. ila hatuoni, hatuskii, had nagombana na ndugu . (mapenz upofu).
KUwa OriGinal. kama unampenda futa huu uzi haraka .
 
Umedumu nae mwezi mmoja na ulikua una mpango wa kumchumbia hivi karibuni? that means within six month ungeoa kabisa?kasheshe, in short huyo ni mrembo kikojozi but kama wampenda mvumilie mtafute solution pamoja

Mhh comment yako niki-relate na avatar yako unayotumia its disappointed,dat lady in ur avatar ni smart sana,nikuulize tu kwani mwaswala ya mahusiano, mapenzi yana formula to use?au kwa maana nyingine ni lazima tuigane jinsi yakumpata mke/mume?wewe Ulitakaje amsome years ndo afanye maamuzi ya kumuoa?when love comes doesnt ask why sitaki kuamini hiyo ni hast generalization fallacy ,sasa nirudi kwenye mada ninacho kiamini mimi ukimpenda mtu mapungufu yake hayawezi kukusumbua, cha msingi ndo wakati haswa wakumuonyesha mapenzi ya dhati kabisa kumjali na kutafuta suluhu la tatizo na kumsaidia na mpeleke kwa doctor na swala hilo linatibika ,
 
Mnakunywa dozen moja ya Azam soda usiku ndiyo tatizo!!! Mwanaume aliyekamilika hakimbii tatizo mwanaume aliye kamilika anatatua matatizo na changamoto anazokumbana nazo ktk maisha!! Mm ni mwanaume Ila nilisha wahi nitokea ukubwani nikajikojolea hadi mkojo ukaisha kidogo nijinyee [joke]!! Je hilo tatizo lingekuwa ni lako ungejisikiajee!!! Kwenye mapenzi kuna raha na shida we tunataka uwe nae kwenye raha tuuuuuuu????? PMF

Hivi KakaJambazi ni bro wako? Nauliza tu.
 
Last edited by a moderator:
Mhh comment yako niki-relate na avatar yako unayotumia its disappointed,dat lady in ur avatar ni smart sana,nikuulize tu kwani mwaswala ya mahusiano, mapenzi yana formula to use?au kwa maana nyingine ni lazima tuigane jinsi yakumpata mke/mume?wewe Ulitakaje amsome years ndo afanye maamuzi ya kumuoa?when love comes doesnt ask why sitaki kuamini hiyo ni hast generalization fallacy ,sasa nirudi kwenye mada ninacho kiamini mimi ukimpenda mtu mapungufu yake hayawezi kukusumbua, cha msingi ndo wakati haswa wakumuonyesha mapenzi ya dhati kabisa kumjali na kutafuta suluhu la tatizo na kumsaidia na mpeleke kwa doctor na swala hilo linatibika ,

"Its dissapointed"?lol nani alikwambia mtazamo wa mtu ukiwa tofauti na wako inamaanisha huyo mtu sio smart?je mtazamo wako ndo kipimo cha usmart wa mtu? anyway kila mtu ana mtazamo wake linapokuja swala la mahusiano, nimeshangaa kivyangu kutokana na ninavyoamini na ambavyo nimekua nikishuhudia kwa wengi walioharakisha mambo kua mwezi mmoja hautoshi kujua tabia ya mtu ili uamue kujicommit kwa jambo kubwa kama ndoa, kwako wewe inaweza kua tofauti maneno yangu sio formula, simamia unachokiamini
 
Watu wanajikojolea kitandani na ukubwa wao halafu watu wanasema nikawaida!hapana aisee, kwa watoto wadogo nisawa lakini kwa mtu mzima hata ulale umelewa bado huwezi kujikojolea kitandani hayo nimapungufu tukubali tukatae.tutafute tiba hii habari ya kuota unakojoa IPO lakini bado haiwezi kua kigezo cha kulimwaga kojo zima mpaka likaisha mmh.

ndiyo maana nikauliza maana kwangu limenishangaza mtu mzima kukojoa kitandani tena akiwa kwa mpenzi wake tatizo nini
 
Mmmhh ....... Huenda Ni jasho tu vipi ulinusa kwani???????
 
USHAURI WANGU KWENU WANAWAKE/
WASICHANA
Leo Nina jambo kwenu nyie dada zangu....
Ukitaka kuolewa olewa na mume ambaye
atakuwa rafiki kwako siyo kisa unampenda hadi
anakufunga akili kama MAHARAGE ya kwenye
MAKOPO , jaribuni hata kuzingatia umri usiolewe
na mwanaume atakaye kuwa BABA kwako! yaani
Unaolewa na mwanaume ana masharti kama
ubalozi wa MAREKANI ?? Ukitaka kumuomba au
kumshauri kitu unakuwa na HOFU kama unasubiri
MAJIBU ya UKIMWI bhana!? Ukimuelekeza jambo
utasikia kakufundisha nani? Ushaanza umalaya
eeeh basi unayweeeea kama KONOKONO kwenye
gamba atiwapo chumvi au amuonapo ADUI ?
yaani inafikia kipindi Ndoa unaiona chungu kama
umeolewa na Al-shabab?? Yaani mwanaume
mbabe utazani nyapala wa gereza la ISANGA ???
Mwanaume mjuaji kila kitu kama MAFUTA YA
KUPIKIA.. Yaani tangu amekuoa ye Ni amri tu
kama hakimu wa mahakama ya MWANZO !
Ila kinacho waponza Ni tamaa tu ukishaona
mwanaume anavijisent baaasi ushashoboka kama
mbwa koko aliyeona mfupa kwa muuza supu
Kwamba hata apigweje baadae atarudi tena
kudowea mabaki!! Na ndo maana ndoa
zinawashinda hata mwaka hammalizi.. Msione
vyaelea vimeundwa! Mnawasaliti wapenzi wenu
wanaowapenda kwa dhati kisa magari na mijengo
ukitaka kufaidi life ya raha chuma mwenyewe
mnapenda mtelemko kama MKOKOTENI kwenye
MTEREMKO mnaishia kunyanyasika tu mtakufa
ulimi nje kama MBWA anapoza MWILI kivulini.....
AMKA SASA TATIZO LENU MNAPENDA VIMTU
AMBAVYO HAVINA MBELE WALA NYUMA KISHA
MKIPIGWA CHINI MNAKUJA NA HOJA ETI
WANAUME WA SIKU HIZI.......AMKA SASA

Njee ya mada...
 


Ndugu yangu

Kwanza, usikate tamaa na hali iliyorokea. Kama ninakusoma vema hilo ni tukio moja ukiwa naye. Huwezi kufikia hitimisho kwa tukio moja

Kwa mujibu wake iliyawahi kumtokea miaka 3 iliyopita.
Kwa maelezo hayo ni hali inayojirudia ingawa hatujui ni katika muda gani.


Hili ni suala la mapenzi na katika mahusiano kuelekea uchumba ni ngumu kidogo kupata ABCD

Hali ya bedwetting inaitwa nocturnal enuresis (kukojoa usiku bila ridhaa au kupenda) Hali hiyo inasababishwa na mambo mengi ambayo kwa undani wake ni ya kitaalamu zaidi. Tunaweza kuweka kwa ufupi sana na kiwango cha kawaida cha uelewa kama ifuatavyo

Hereditary: Kurithi hali kutoka kwa wazazi, iwe mmoja au wote

Hormone: Mfumo wa `homoni kama ADH`unaweza kuwa na matatizo

Anatomy: Kibofu kidogo kwa maana ujazo wake na si siza (functional blaader capacity au FBC)

Maradhi : Kama kisukari aina ya 1 (Type 1 diabetic)

Mfumo fahamu(Neuroological) umeathirika katika kudhibiti

Kijamii (social) kwamba aliye na hayo hapo juu na akanywa maji mengi, inaweza kuchochea hali hiyo

Na pia hatuwezi kuweka mbali uchovu ambao wewe pekee unaujua, ushanfahamu!
Uchovu kwa maana mtu anajisikia, anaahirisha na matokeo ni simtank inapsuka bila kutaraji


Hizi ni baadhi tu ya sababu, wataalamu wa afya wanaufahamu mkubwa.
Haya ni katika kukufahamisha ili uelewe hii ni hali ya kibinadamu


Ushauri wangu, kwanza unatakiwa uwe sehemu ya suluhu ya tatizo.
Mahusiano yanakutanisha watu wawili wenye maumbile, haiba, hulka tofati n.k.


Sijui kama ungekuwa na `tango, mchicha au kibamia` akakimbia ungejisikiaje`(kwa hisani ya JF)
Msaidie katika kutafuta ushauri na kama ameshahangaika awe muwazi kwako ili mjue tatizo linawezaje kushughulikiwa


Ni mapema mno kukata tamaa au kupaniki.
Hayo ndiyo mapenzi yanakuja na vibahasha. Muhimu ni moyo wako


Nimalizie kwa kukuuliza, hivi mngefunga ndoa na baada ya siku 3 akagunduliwa na tatizo la figo moja, ungefanya nini

Wenye mji nisitini nipo njiani naelekea JLS


Ahsante

 
Nyie vijana mnadhania ndoa ni maigizo? Ngoja siku ulalie mkojo wa damu uite fire kabisa!
 


Ndugu yangu

Kwanza, usikate tamaa na hali iliyorokea. Kama ninakusoma vema hilo ni tukio moja ukiwa naye. Huwezi kufikia hitimisho kwa tukio moja

Kwa mujibu wake iliyawahi kumtokea miaka 3 iliyopita.
Kwa maelezo hayo ni hali inayojirudia ingawa hatujui ni katika muda gani.


Hili ni suala la mapenzi na katika mahusiano kuelekea uchumba ni ngumu kidogo kupata ABCD

Hali ya bedwetting inaitwa nocturnal enuresis (kukojoa usiku bila ridhaa au kupenda) Hali hiyo inasababishwa na mambo mengi ambayo kwa undani wake ni ya kitaalamu zaidi. Tunaweza kuweka kwa ufupi sana na kiwango cha kawaida cha uelewa kama ifuatavyo

Hereditary: Kurithi hali kutoka kwa wazazi, iwe mmoja au wote

Hormone: Mfumo wa `homoni kama ADH`unaweza kuwa na matatizo

Anatomy: Kibofu kidogo kwa maana ujazo wake na si siza (functional blaader capacity au FBC)

Maradhi : Kama kisukari aina ya 1 (Type 1 diabetic)

Mfumo fahamu(Neuroological) umeathirika katika kudhibiti

Kijamii (social) kwamba aliye na hayo hapo juu na akanywa maji mengi, inaweza kuchochea hali hiyo

Na pia hatuwezi kuweka mbali uchovu ambao wewe pekee unaujua, ushanfahamu!
Uchovu kwa maana mtu anajisikia, anaahirisha na matokeo ni simtank inapsuka bila kutaraji


Hizi ni baadhi tu ya sababu, wataalamu wa afya wanaufahamu mkubwa.
Haya ni katika kukufahamisha ili uelewe hii ni hali ya kibinadamu


Ushauri wangu, kwanza unatakiwa uwe sehemu ya suluhu ya tatizo.
Mahusiano yanakutanisha watu wawili wenye maumbile, haiba, hulka tofati n.k.


Sijui kama ungekuwa na `tango, mchicha au kibamia` akakimbia ungejisikiaje`(kwa hisani ya JF)
Msaidie katika kutafuta ushauri na kama ameshahangaika awe muwazi kwako ili mjue tatizo linawezaje kushughulikiwa


Ni mapema mno kukata tamaa au kupaniki.
Hayo ndiyo mapenzi yanakuja na vibahasha. Muhimu ni moyo wako


Nimalizie kwa kukuuliza, hivi mngefunga ndoa na baada ya siku 3 akagunduliwa na tatizo la figo moja, ungefanya nini

Wenye mji nisitini nipo njiani naelekea JLS


Ahsante


Ubarikiwe mkuu ushauri wako umepokelewa
 
Wanaukumbi kwanza nawasalimu nyinyi nyote mtakaosoma post yangu hii.Nirudi kwenye mada, ninaye mpenzi ambaye tumedumu naye karibu mwezi mmoja na nusu yeye anakaa kwake amepanga nyumba na mimi ninakaa kwangu sasa katika huo muda wa mahusiano kuna muda hua naenda kulala kwake kama mara nne hivi vivyo hivyo naye huwa anakuja kulala kwangu.

Sasa sababu ya kuleta post hii hapa jamvini ili nipate ushauri, ni kwamba kuna siku alilala kwangu wakati wa usiku wa manane nikajihisi nimelalia maji nilivyoshituka kumshitua mpenzi wangu kwamba haya maji yametoka wapi akasema ni yeye amekojoa kwa bahati mbaya. Nilivyombana ni kwanini akojoe kitandani badala ya chooni akasema mkojo ulikuwa umembana sasa akasema ngoja alale kidogo ndoto ikamjia anakojoa nje kumbe ni kitandani.

Nilivyomuuliza kama hali hiyo ilishajitokeza huko nyuma akasema kama miaka mitatu iliyopita tukio hilo lilijitokeza ombi langu kwenu wadau huyu ni mpenzi niliyekuwa nina mpango wa kumchumbia hivi karibuni lakini kwa tabia hii nimevunjika moyo kabisa, nilikuwa naomba ushauri katika jambo hili kama kweli linaweza kujitokeza kwa mtu kukojoa kitandani kwa bahati mbaya au hilo ni tatizo la kudumu.

Ndio maana mkaambiwa msiikaribie zinaa, mmezini ikisha unakuja kumdhalilisha JF.Hivi kwani ndoa haziwezi kudumu kama watu hawajazini kwanza? Hivi huyo demu angekuwa mke halali ungekuja JF kuomba ushauri wa kumuacha?
 
Aaah! Hilo tatizo dogo tu. Angejisaidia haja kubwa tungesema 'wameshamfumua marinda' Nadhani atakuwa na tatizo la nervous sytem kiasi kwamba ubongo unashindwa kukontrol vizuri sphincter muscles. Jaribu kuwaona madaktari watakusaidia...
 
Ndio maana mkaambiwa msiikaribie zinaa, mmezini ikisha unakuja kumdhalilisha JF.Hivi kwani ndoa haziwezi kudumu kama watu hawajazini kwanza? Hivi huyo demu angekuwa mke halali ungekuja JF kuomba ushauri wa kumuacha?

mkuu nadhani uko kiroho zaidi lakini ukiongelea kimwili hivi ninahaja gani nisubiri kuzini na mpenzi wangu eti nisubiri siku ya ndoa wakati tiyari amebikiriwa na watu wengine?kumbe unataka uniambie huu ni mpango wa shetani kuyajua haya ya mpenzi wangu kabla ya ndoa
 
Aaah! Hilo tatizo dogo tu. Angejisaidia haja kubwa tungesema 'wameshamfumua marinda' Nadhani atakuwa na tatizo la nervous sytem kiasi kwamba ubongo unashindwa kukontrol vizuri sphincter muscles. Jaribu kuwaona madaktari watakusaidia...

ubarikiwe mkuu
 
Ni mambo ya kawaida,hoja ya msing ukiwa naww amekojoa mara ngap?!?!
 
Back
Top Bottom