Jagiya
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,206
- 1,828
Tengeneza life lako mkuu wanawake wapo tuKwahiyo nimpotezee au nimsubiri !?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tengeneza life lako mkuu wanawake wapo tuKwahiyo nimpotezee au nimsubiri !?
Hahaha Sina uwezi wa hukoWewe pia tafuta scholarship umfuate huko, huko, dawa ya moto ni moto.
Ni bora uwe na Man utd kuliko uyo mpenz wakoTulianza mahusiano vizuri tu baada ya mwezi akapata scholarship kusoma nje ya nchii baada ya mwezi mmoja, mawasiliano yakapungua kinoma, na sasa cha kushangaza ameniblock kabisa..
Nifanyeje wanazengo na bado nampenda?
![]()
Mwambie akupe mbinu.Hahaha Sina uwezi wa huko
Eti sa anataka nini tena kinachomtisha abroad au? Mfano kuna mwanamke nimempata last month Wote tupo dar sasa bwana nlivyokuwa daslama mapenz yalikuwa moto kweli kweli, nimesafir kikaz wik tatu tu msg zangu anajibu kwa mbaali, akipokea simu anasema atanicheki na wala hanichek, jana kaomba vocha nimetuma muda huo huo kazima simu na had muda huu hajashukuru wala nini(THAT IS DISRESPECT), yote haya ni sababu sijamkaza, wanawake weng kabla hujawala wana wanaume zao maX walowala wana flit nao so basically wanasumbua sana anyways kwakuwa nna experience na game wala sijisumbui kumuuliza, na simwambii kama nimemwacha na sitapiga simu ila akipiga ntapokea na ntajibu vizuri tu, akiomba tuonane ntaonana nae bila kinyongo ila hatutaongelea mapenz na akiomba hela kama anavyofanyaga simpi na akija maskani simli vile vile kuonyesha kwamba her pussay is not that all watu wengine tunatakaga RESPECT...Fimbo ya mbali haiuwi nyoka mkuu.
Asante aisee , nimekuelewa sanaEti sa anataka nini tena kinachomtisha abroad au? Mfano kuna mwanamke nimempata last month Wote tupo dar sasa bwana nlivyokuwa daslama mkezo huyo chakaram mwache kwani nini bwana KAKUBLOCK MANAKE HAKUTAKI