wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,143
Mungu alituumba wanadamu ktk maumbile tofauti, nakushauri kwanza usimwache,pili sema nae taratibu yakuwa mkawaone wataalamu wa viungo hivyo kwenye hospital, na uumpe moyo kwa hilo lililopo naamini mtafika mahala mtakubaliana na lililopo na kuendelea vyema ktk maisha yenu, Mungu awabariki sana na kuwa jaalia kila lililo jema ktk familia yenu.Nimemkuta huyu mpenzi wangu akiwa na mtoto mmoja na sasa ni kipindi cha miaka saba sasa.
Cha ajabu tulitumia miaka mitatu tulikuwa tunafanya kila kitu lakini aligoma kabisa kusex na mimi.
Tulikuwa tunaenda chumbani au tunakaa kwenye gari tunafanya kila kitu ila ukimwambia msex hataki kabisa alikuwa ananishangaza sana.
Mara ya kwanza kukubali kusex nae kweli nilimwonea huruma sana na niligundua kwanini alikuwa hataki kusex na mimi.
Yaani ukiingiza uume husikii kabisa ukiguswa hivyo nili pup over one hour sikuhisi kukojoa na wala yeye hakukojoa. Basi ilibidi tu niache.
Hivyo mpaka leo naingizaga tu uume lakini nikitaka kukojoa inabidi afanye mambo mengine kunirizisha. Issue ya yeye kukojoa ndio haipo kabisa na kwa kweli wala hapendi sex tena mana ha enjoy na anajihisi kuchorokea.
Nimeweka issue yangu katika jukwaa hili kupata ushauri ambao unaweza kumsaidia huyu mpenzi wangu ili tu enjoy mapenzi.
Asante JF