Mr Bean
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 206
- 178
Mpenzi wangu ni kikojozi, nifanyeje?
Magodoro yote yameoza.
Nimempiga marufuku asinywe maji au chai usiku. ila hali bado ile ile, tena asipokunya maji anakojoa asidi (acid), pampers anavaa ila bado godoro linaloa.
Akinywa maji ya bahari anakojoa chumvi.
Magodoro yote yameoza.
Nimempiga marufuku asinywe maji au chai usiku. ila hali bado ile ile, tena asipokunya maji anakojoa asidi (acid), pampers anavaa ila bado godoro linaloa.
Akinywa maji ya bahari anakojoa chumvi.