Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndo watamu kunako bedUsioe wanawake wenye vinasaba vya umalaya, huyo atakusumbua, usithubutu kuoa.
Hao ndo watamu kunako bed
Basi anafaa awe mchepukoKabisa, na mimi nimesema hawafai kunako ndoa.
Basi anafaa awe mchepuko
Hakuna asiyefanya dhambi wote tunatenda dhambi. Na ukiamua kufanyà dhambi fanya kwelikweli. Maana kwa Mungu hakuna dhambi ndogo na kubwaKuwa na mchepuko ni dhambi kaka
Hakuna asiyefanya dhambi wote tunatenda dhambi. Na ukiamua kufanyà dhambi fanya kwelikweli. Maana kwa Mungu hakuna dhambi ndogo na kubwa
1 Wakorintho 6:9-10
9Je, hamjui kwamba wasio na haki hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike, waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wapotoshaji; 10 wala wezi, wala wenye tamaa mbaya, wala walevi, wala wanaodhihaki, wala wanyang’anyi.
Methali 6:16-19 BHN
Kuna vitu sita anavyochukia Mwenyezi-Mungu; naam, vitu saba ambavyo ni chukizo kwake: Macho ya kiburi, ulimi mdanganyifu, mikono inayoua wasio na hatia, moyo unaopanga mipango miovu, miguu iliyo mbioni kutenda maovu, shahidi wa uongo abubujikaye uongo, na mtu achocheaye fitina kati ya ndugu.
Mathayo 5:27 -28 "Mmesikia kwamba imenenwa, usizini; lakini mimi nawaambia, kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini moyoni mwake."
Kati ya watu wajinga niliokutana nao mwaka huu nafikiri unaongoza, haya maneno yanani support mimi na kukupinga.
Mimi nimesema nyumba ndogo ni dhambi, wewe ukasema dhambi ifanywe zaidi, nauliza referece ya kwamba dhambi ifanywe zaidi unanipa ya kukataza dhambi.
1 Wafalme 11:3 BHN
Sulemani akawa na wanawake 700, wote mabinti wa kifalme; na masuria 300
MWANZO 16:1-3Reference?
Tunaangalia michepuko tu hapoUnaujua mwisho wa suleiman au umemalizia kusoma hapo tu?
Hampendi ukweli! WaTanzania aisee[emoji23][emoji23][emoji23]. Nabado tunailaumu CCM[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Toa upumbavu wako mjinga mkubwa wewe
[emoji38][emoji38][emoji38]Unamnyonya hadi matakoni au sio hakuna kinyaa hadi akunyee?
Tunaangalia michepuko tu hapo