Mpenzi wangu ananilazimisha nizame chumvini

Mpenzi wangu ananilazimisha nizame chumvini

Daah aisee😀 Cancer yako ipo na inaua tumia aKili yako vizuri!
 
Noma sana! Hamna demu hapo ,ipo siku ataenda kutafuta "marioo" amlambe Pussy cat dolls.
 
1 Wakorintho 6:9-10
9Je, hamjui kwamba wasio na haki hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike, waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wapotoshaji; 10 wala wezi, wala wenye tamaa mbaya, wala walevi, wala wanaodhihaki, wala wanyang’anyi.

Methali 6:16-19 BHN​

Kuna vitu sita anavyochukia Mwenyezi-Mungu; naam, vitu saba ambavyo ni chukizo kwake: Macho ya kiburi, ulimi mdanganyifu, mikono inayoua wasio na hatia, moyo unaopanga mipango miovu, miguu iliyo mbioni kutenda maovu, shahidi wa uongo abubujikaye uongo, na mtu achocheaye fitina kati ya ndugu.

Mathayo 5:27 -28 "Mmesikia kwamba imenenwa, usizini; lakini mimi nawaambia, kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini moyoni mwake."

Kati ya watu wajinga niliokutana nao mwaka huu nafikiri unaongoza, haya maneno yanani support mimi na kukupinga.

Mimi nimesema nyumba ndogo ni dhambi, wewe ukasema dhambi ifanywe zaidi, nauliza referece ya kwamba dhambi ifanywe zaidi unanipa ya kukataza dhambi.
 
Kati ya watu wajinga niliokutana nao mwaka huu nafikiri unaongoza, haya maneno yanani support mimi na kukupinga.

Mimi nimesema nyumba ndogo ni dhambi, wewe ukasema dhambi ifanywe zaidi, nauliza referece ya kwamba dhambi ifanywe zaidi unanipa ya kukataza dhambi.

1 Wafalme 11:3 BHN​

Sulemani akawa na wanawake 700, wote mabinti wa kifalme; na masuria 300
 
Reference?
MWANZO 16:1-3

1 Basi Sarai mkewe Abramu hakumzalia mwana, naye alikuwa na mjakazi, Mmisri, jina lake Hajiri.
2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, Bwana amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
3 Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
 
Yahusu;

Mimi huyu wa kwangu alitaka kuwa ananinyonya rungu, nikamkatalia kabisa nikamwambia mke hapaswi kufanya hivyo.

Baadae nikawaza sana nikahisi huko alikotoka ma ex walinyonywa mno.

Hitimisho;
Tumeachana akiwa na mtoto mchanga (sababu ya presha kutoka kwa wazazi wake).

Screenshot_20230107-071032.png
 
Kuna baba mmoja alikuwa akijitapa mimi mke wangu hawezi kuchepuka tena alikuwa akijitapa kijiweni.

Hawa wanandoa walikuwa wanaishi uswazi. Basi siku moja mke wa jamaa kachepuka kwenye hizo nyumba za ushwazi zina wavu na pazia.
Sasa vijana wakamfata jamaa ili wamuoneshe mke wake anavyoliwa. kweli wakaja nae mpaka pale kidirisha na alivyo chungulia akapiga kelele hivi

" jamaniiiii mimi mke wangu sio mlemavu, huyu aĺiyekunjwa hivi miguu ni mlemavu sio mama juma wangu"

Wakamwambia, chungulia tena uakiki, akachungulia, akamuita, mama juma ni wewe kweli, mke akacholopoka kujificha uvunguni.

Mleta mada jiandae, kuna huu utitili ambao haunaga pesa kazi yao ni kukunja wanakawe, kusimamia kucha, magoli 7. Kupiga deki kuanzia kichwani mpaka miguuni, baba jiandae.

Embu nijibu pole pole watu wasisikie!
1: mkeo ni msafi?
2: ndani kwenu mna zile mouth wash za kusukutua?
3: wewe kwa nini unakubali kunyonywa mpompolimpo wako? Je unasikiaga raha?

Kila mtu abaki na chake kama ndo hivo.
 
Aisee, vijana tunaiga vyaajabu sana ilihali wenzetu wanafanya biashara na kukuteka kiakili. Halafu mnatishiana kuachwa na mpenzi kisa atachepuka[emoji23][emoji23][emoji23]. Hivi unajua hatukuzaliwa na huyo mpenziwe[emoji23][emoji23][emoji23] maana nikishikiwa kisu na roho imkononi hata iweje hataokoa nafsi yangu na kamwe sitazikwa naye. Genitals huko chini zimebeba vimelea wengi wa vijidudu ikiwemo normal flora bacteria wenyewe. Pia uaminifu katika mahusiano ni zero hivyo hujui mwenzako kabeba STIs gani. Tupo tayari kujiongopea kwa starehe ya dakika 60 au chini ya hapo na mara nyingi ukishafika refractory period hata kuyatamani hayo mapenzi unaona umeyachoka. Macho yako ni macroscopic na hakuna kiwango cha usafi utakachokiona kitakuhakikishia microscopic level ya usafi mwilini humo. Ndio maana hata uwe msafi kiasi gani, sindano haitachomwa juu ya nguo yako ili kupitisha dawa. Nikikutajia magonjwa yaliyojaa kwenye uchi hasa uke wa mwanamke na hali halisi ya mazingira humo chini, hutatamani hata kuingiza mdomo wako humo ndani. Tuache ushamba na maigizo, porn si mapenzi ni biashara napia tuziweke kushoto, zinaperpetuate ushoga na vitu vingi ambavyo watanzania tunajifanya kuvipinga kumbe ni wahuni tu[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Back
Top Bottom