Mpenzi wangu ananilazimisha nizame chumvini

zama chumvini kaka vinginevyo utazamiwa

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Weeeeh nmekupata yalaaaah.
Yani ww aiseh me hua unanitia kinyaa bn.
Yani ww itabid nkuombee
Mbona wenzenu wanapenda tuwafanyie hizo mambo nao mwanzoni walikuwa wanaona kinyaa kama wewe

Wewe ngoja siku utapata mnyonyaji stadi wa hizo sehemu utajuta kwa nini ulichelewa kujaribu hizi mambo

Unataka uniombee niache kufyonza?
 
Usinyonye huo uchafu bro maumbile yao ni ya kitofauti sana utakuja kupata maradhi bure.
 
Acha usizame chumvini azamiwe na boda boda. Ndio shida ya kuwa na mpenzi ambaye haujampenda vizuri. Ukimpenda mtu hamna kinyaa.
Bora umesema dear, huyu hana hisia na mwenzakee.
Boraa amuachee tyuuh, atafute type yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…