Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kwanza napenda kukuambia wewe unakifua hadi Sasa ambacho akiishi naunadhani nikwasababu ya hali ya hewa au sigara my friends no nikulamba lamba visivyo lambwa Sasa hivi unaongea kama Huna sauti kumbe hiyo inshuuHUU NI UONGO MTUPU, UPUUZWE..tukisema utuletee ushahidi wa wanaoumwa haya magonjwa sabb ya kuzama uvinza utawaleta? Ama mtatutishia mapicha yenu ya kugoogle mliyozoea kuyadownload[emoji23][emoji23].
Naomba kijan ufute hii unatuharibia starehe zetu...mbona pombe hamuisemi bana nyie vip