Mpenzi wangu ananiomba Nimnyoe nywele za.......

Mpenzi wangu ananiomba Nimnyoe nywele za.......

KAKUDO: We vipi? Uko dunia gani? Mi my wife yupo shule,akiwa huko wala hafikirii kunyoa kunako. Anajua likizo ikifika tu yupo wa kumnyoa. Kuna shida gani apo kakudo? Jaribu tu,utazoea! And, Dat is real romantic!
 
Yaani kama hii ni live Kokudo analabwa makofi harafu tunamfungia chumbani na demu wake lazima azinyoe kudadadeki huo ni utoto tu!
 
Kata hayo mavuzi ya mwenzako wataalam huwa tunaandaaga magic maana tunajua after how many days zitakuwa hewani kwa mwenyewe anajualeo atasheviwa tu
 
nywele gani hasa unazozikimbia? duh ww kweli, mwenzio akipewa kazi akiiweza ww utaula na chua.chamsingi nyoa pole pole utasahau.
 
Mlete nikuonyeshe wanavyonyoa ili siku nyingine usiwe mwoga
Hahahahahah.....hii imekaa vizuri! Hahahha JF bwana ni zaidi ya CHIBOKO! Safi sana CPU, I like this!
 
angalia msinyoane vipara wote msije chomana na vimiba vianzapo kuota
 
kunyoana raha sana,nenda kajaribu pole pole usije mkata lakini kwa kutetemeka,au ndio nyie mnao Du mkazima taaaaaaa? sasa kunyoa usije ukafunga macho ukamkata mwenzio ikawa mtihani tena.
 
Ange sema mavuzi nadhani ni lugha ya kawaida ila nywele ni za kichwani jamani. Ila kama hutaki kuendelea kusumbuliwa kwa maana kwamba we si kinyozi mzuri basi siku 1 mnyoe afu mkate kidogo hatakuita tena
Mamaaaa mbavu zangu.
 
Yaani kama hii ni live Kokudo analabwa makofi harafu tunamfungia chumbani na demu wake lazima azinyoe kudadadeki huo ni utoto tu!
Yani hii ni kweli tupu.na km n hvyo makof halali yangu.pia ukinfungia itakua poa kweli
 
Jamani hapa mwenzenu pananipa wakati mgumu naomba msaada wenu mwenye uzoefu huu anisaidie.yani kila nywele zikikua ananiomba nimnyoe napiga chenga visingzio kibao mpaka anarekebisha mwenyewe ss icje nikakimbiwa kwa kutotimiza hayo.
Ushauri tafadhari.

I'm afraid if you don't do that, then somebody else will.................
 
Jamani hapa mwenzenu pananipa wakati mgumu naomba msaada wenu mwenye uzoefu huu anisaidie.yani kila nywele zikikua ananiomba nimnyoe napiga chenga visingzio kibao mpaka anarekebisha mwenyewe ss icje nikakimbiwa kwa kutotimiza hayo.
Ushauri tafadhari.

Kwani kuna tatizo gani la kumnyoa mwenzio? Mbona walio katika mapenzi ya kweli wananyoana tena kwa raha zao? Mkimaliza kunyoana mnananihii kama kawa....Kila la heri 🙂



 
Last edited by a moderator:
Duh!Mambo ya mjini bwana,wengine hapana wengine ndio,lakini nyie si mwili mmoja?
 
WE dada unayeogopa kumnyoa mwenzio, subili upate mimba, ikifika miezi 7 tuone utamwambia nani akunyoe.
Nasema haraka kamnyoe huo ndo utamaduni wa wapendanao, kumnyoa mwenzio ni lazima. tena ungekuwa mpenzi wangu sinyowi mpaka uninyoe mwenyewe.
 
apo hakuna linaloshindikana kwenye pesa kama ni mwanaume mtafutie mwanamke amnyoe, na kama ni mwanamke mtafutie mwanaume amnyoe /so long as unamlipa. usiwe na shaka hatakusumbua tena after kunyolewa.
 
Back
Top Bottom