miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Love is hard. It hurts a lotKabisa mkuu,yani stress nilizo nazo hapa ndomaana tunakufa mapema.Kuna muda nilikuwa na wife tunapiga story sebuleni mkao tuliokaa na menenao anayozungumza unaona kabisa huyu mwanamke ananipenda,yani hapo ndo natamani kuchanganyikiwa kabisa nikifikiria akijua ataumiaje?
Anajaribu kunichekesha ila akili haipo kabisa.
Wewe una tamaa ya kufanya nao ngono lakini huna mapenzi nao. Huwezi kuamini ninachosema lakini kuna siku utakuja kuona ukweli wake. Baada ya kulala na huyo kimada ulinogewa kiasi cha kutaka kuendelea kuwa naye ili mfanye ngono. Ni kwa muda huu tu lakini kuna siku utaona kama anakusumbua na utajiambia mwenyewe uachane naye ili asivunje ndoa yako.Kabisa mkuu,yani stress nilizo nazo hapa ndomaana tunakufa mapema.Kuna muda nilikuwa na wife tunapiga story sebuleni mkao tuliokaa na menenao anayozungumza unaona kabisa huyu mwanamke ananipenda,yani hapo ndo natamani kuchanganyikiwa kabisa nikifikiria akijua ataumiaje?
Anajaribu kunichekesha ila akili haipo kabisa.
We huna hela wewe.
Mwache mtoto afurahie na watoto wenzake...tafuta mkubwa mwenzie aliyekomaa kiakili
Jiandae akijua ndoa inaota mbawa
Nimejikuta njia panda kabisa, huyu binti nampenda sana tena sana tu na huwezi amini nilimkuta bikra kabisa . Mke wangu nae nampenda sana tena sana, yaani nimeamini kumbe moyo unaweza kupenda mara mbili.
Sina plan za kumtelekeza kwa namna yoyote ile, ila nawaza tu mke wangu ataipokeaje hii taarifa maana ana wivu sana.Nawaza ikitokea situation ya kuchagua mmoja kati yao itakuwa ni mbaya sana kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha wanaume tunapitia mengiii...!
Kuna binadam wengine Ni wagum kuelewa aisee mtu anajua ratiba zako uamkapo Asubuhi Ni mchakamchaka afu anakupigia mchana anataka muongee nusu saa na mnachoongea hamna Cha maana ...! Msg kila saa usipo jibu anaona kama unampotezea usiku anataka muongee lisaa ***** mtu umechoka upo hoi . Mahusiano ya hvi nakimbia ndani ya wiki
Wenzako tunatamani tupate hata watu wa kutuganda na kutusumbua na hizo sms..
Matokeo yake tunaishi kupata sms za Songesha na Mpawa [emoji3][emoji3]
Mpelekee moto,kila akituma msg we muite mkutane ukampelekee moto,ata acha mwenyew
Hakuamini ndiyo maana...
Life is not fair kabisa[emoji1]
[emoji3][emoji3]
We jamaa umenchekesha sana mzee. Na sms ya voda kuwa, sasa unaweza tumia kifurushi cha asubuhi supa.
Acha tu ndugu [emoji3][emoji3]
Kabisa mkuu,yani stress nilizo nazo hapa ndomaana tunakufa mapema.Kuna muda nilikuwa na wife tunapiga story sebuleni mkao tuliokaa na menenao anayozungumza unaona kabisa huyu mwanamke ananipenda,yani hapo ndo natamani kuchanganyikiwa kabisa nikifikiria akijua ataumiaje?
Anajaribu kunichekesha ila akili haipo kabisa.
Hii comment imebeba mada yote [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanzo alikuwa kwenye kipind cha mpito, yupo na mtu wake wa zaman huku kakukubalia wew.
So sasa hivi kashaachana na mtu wake rasmi, kaamishia majeshi kwako kwa nguvu zote. Mpokee kwa mikono miwili, hayo ni mapunguvu madogo tu.
SUKAH
Hv kumbe likiwa jipya texts zinakuja mfululizo eehPenzi jipya ktk ubora wake. [emoji23][emoji23]