Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

Dah huyo kama Demu wangu aisee yaani yupo hivyo hivyo anapenda sex Ila now kanielewa katulia Ila mwanzo mmh alikuwa ananipelekesha kinouma hatari

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Ukweli ndio huo, wanawake wengi wanapenda kufanya mapenzi sana, wengine hatuongei tu tumeamua kufa kijerumani, yaani na tai shingoni...

Ukimuendekeza hamuwezi kufanya mambo ya maana, siku ìna masaa 24 tu, unatakiwa kwenda kazini, kusoma, kumeditate, kuplan future, kufanya mazoezi, kufocus, kuhudhuria vikao na mambo mengine mengi pia upate muda wa kupumzika! Halafu kuna jitu linataka kila siku mkeshe mkifanya mapenzi!!
 
Aise umenikumbusha mbali sana. Nimewahi kuoa mwanamke ambaye alikuwa hapendi kabisa sex, yani anaweza kukausha hadi wiki tatu kimya.. Nilifedheheka sana nyakati hizo na miaka kadhaa tuliachana nikaoa mwingine. Bwana dunia haijawahi kubalance kwa kweli. Huyu niliye naye sasa anapenda sex hadi raha. Yani ni nishindwe mwenyewe. Ninamshukuru Mungu kwa kunipa wa saiz yangu aise
Hata mimi nilipata mdemu ambaye hapendi sex kabisa harafu ukiangalia mimi homoni zangu natamani anayenipa sex kila wakati aisee iliniboa sana tukaachana alipo ndoka mkoa tofauti tumebaki kama washikaji tu mpaka sasa
 
Huyo alinifaa mm maaana mm naweza kesha napiga mambo tu na situmii dawa wala mkongo, pole yako ww ,upele umempata asiekuwa na kucha
 
Ndugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.

Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani[emoji119][emoji119][emoji119] imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.

Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa

Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.

Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum[emoji120][emoji120]

Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.
Pole mkuu[emoji23][emoji23]
 
Pole sana. Binadam hatukuumbwa sawa. Kuna wengine KE na ME wanakuwa na genye kama fisi maji. Ilishawahi kunikuta hii . Ilibidi nile kona tu ukizingatia nature ya kazi yangu ni kusimama sana Site.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mhandisi ulikimbia pambano [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kuna mmoja Yule alikuwa ananiambia kabisa kuwa hana starehe yoyote anayopenda Zaid ya kuto...mb..na yaaani mnaweza kufanya kila siku tena Zaid ya bao mbili...mmh hapana [emoji119][emoji119] kwa kweli
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Makamanda mkikaziwa mna'hands up' mambo yasiwe mengi..
 
Unatuaibisha wanaume wenzako bwana! Mambo gani haya! Piga mbususu kama vile una dose ya malaria! Mbona unauza ramani ya vita my Ninja??
Oyaaa ndugu hii mbususu nimepiga nimepiga nimepiga mzeee leo kwenye kuanzia saa kumi kasoro nimekiwasha mpk mida ya saa 12 na nusu Asubuhi
 
Tia mimba za dabo dabo MKUU au hauna maajabu
 
Hizo bahati wenzio tunazililia lakini hatuzipati, asee adi nataman huyo mkeo hawe demu wangu niwe namchakata kila sekunde.
 
Ukiona hivyo mwanamke anakupenda...asingekupenda waaaala asingekusumbua
 
Back
Top Bottom