Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pongezi kwa mwanamke mwenzetu kwa kutuwakilisha vema.....
hii kweli awamu ya kike
mkae kwa kutulia ...😁Mnatupiga home and away! Inabidi tuwe wapole
Kwa nidham zotemkae kwa kutulia ...😁
Wewe una bahati ulizia wenzako mababe zao hawataki kupelekeana moto hadi wanachepuka, una bahati sana kuwa naye huyo anayetaka mwenyewe😀An huyu amezidi hata upeleke moto kona zote zote,umpelekee moto mdomoni sijui an unavyozidi kumpelekea moto yeye ndo anazidi kuchanganyikiwa na kukutaka tena na tena hiv mnalielewa hili balaa lilivyo
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa nidham zote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Mnunulie chupa milinda ikusaidie
Anatokea mkoa gani na je ana kirefu au kifupi.Ndugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.
Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani[emoji119][emoji119][emoji119] imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.
Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa
Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.
Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum[emoji120][emoji120]
Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.
Uyu jamaa anatuangusha sana,Wewe una bahati ulizia wenzako mababe zao hawataki kupelekeana moto hadi wanachepuka, una bahati sana kuwa naye huyo anayetaka mwenyewe[emoji3]
Eti analalamika badala ya kufurahia 😂Uyu jamaa anatuangusha sana,
apa nimemwambia tubadilishane na uyu wa kwangu yeye anadengua[emoji4]
Unaweza kwenda "uvinza"? Kama ndiyo ushatatua tatizo kwa 50%kama kuna mbinu ya kurefusha mechi naomba nipeni kwanza maana kinachofata huyu mwanamke ananipiga knockout
Hiyo siyo bahati mkuu, labda kama unatania. Hayo ni majanga..Daaaah, hizo bahati hatukutani nazo watu kama sisi, kweli Dunia haijawahi kubalance kwa kweli
Dah huyo kama Demu wangu aisee yaani yupo hivyo hivyo anapenda sex Ila now kanielewa katulia Ila mwanzo mmh alikuwa ananipelekesha kinouma hatariNdugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.
Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani[emoji119][emoji119][emoji119] imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.
Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa
Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.
Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum[emoji120][emoji120]
Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.
Mwenzio anapelekewa moto, ohWe peleka moto