Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

Mruhusu akutafutie msaidizi aisee🤣🤣🤣🤣. Akipelekewa Moto nje ndani anakupunguzia KAZI. Au vipi. Yaani wewe Una bahati mno maana Wanawake asilimia kubwa huchoka Sana katika tendo. Ukimpiga viwili vitatu Chali. Huyo wako mi ngekewa mkuu. Ikamate vizuri Sana hiyo usije kutana na maharamia wakakuibia.
 
An huyu amezidi hata upeleke moto kona zote zote,umpelekee moto mdomoni sijui an unavyozidi kumpelekea moto yeye ndo anazidi kuchanganyikiwa na kukutaka tena na tena hiv mnalielewa hili balaa lilivyo
Wewe una bahati ulizia wenzako mababe zao hawataki kupelekeana moto hadi wanachepuka, una bahati sana kuwa naye huyo anayetaka mwenyewe😀
 
Ndugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.

Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani[emoji119][emoji119][emoji119] imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.

Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa

Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.

Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum[emoji120][emoji120]

Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.
Anatokea mkoa gani na je ana kirefu au kifupi.
Mzee wanawake wakisharizika na maisha wanapenda kuliko wanaume na shukuru wako, asilimia kubwa ya wanawake huwa hawaridhiki na hawaliweki wazi hilo.
Jitahidi ule ushibe na ufanye mazoezi halafu kamua mpaka itoke vumbi huwa inatokaga vumbi
 
Ndugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.

Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani[emoji119][emoji119][emoji119] imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.

Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa

Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.

Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum[emoji120][emoji120]

Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.
Dah huyo kama Demu wangu aisee yaani yupo hivyo hivyo anapenda sex Ila now kanielewa katulia Ila mwanzo mmh alikuwa ananipelekesha kinouma hatari

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom