Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

Hii itawasaidia na wengine

Chukua mizizi ya papai dume, mizizi ya mgomba dume na mizizi ya mkomamanga, chemsha uwe unakunywa kikombe cha kahawa kila siku mara tatu utaleta mrejesho hapa

Kuna vitunda fulani hivi huwa vinakaa kwenye miti inayotambaa vinakuwa na rangi nyeusi na nyekundu, sasa tunda zile, chukua mizizi yake imenye utoe kile kimti cha katikati kisha unachukua yale maganda uloyachubua ya hiyo mizizi na mbaazi zijae kiganja chemsha kwa pamoja. Hii kunywa maji tu utaleta mrejesho.

Nb. Sitaki mtu pm
 
Hii itawasaidia na wengine

Chukua mizizi ya papai dume, mizizi ya mgomba dume na mizizi ya mkomamanga, chemsha uwe unakunywa kikombe cha kahawa kila siku mara tatu utaleta mrejesho hapa


Kuna vitunda fulani hivi huwa vinakaa kwenye miti inayotambaa vinakuwa na rangi nyeusi na nyekundu, sasa tunda zile, chukua mizizi yake imenye utoe kile kimti cha katikati kisha unachukua yale maganda uloyachubua ya hiyo mizizi na mbaazi zijae kiganja chemsha kwa pamoja. Hii kunywa maji tu utaleta mrejesho.

Nb. Sitaki mtu pm
Shukrani mkuu
 
Mwandiko wako ni kama wa kike na mzoefu sana humu japo umejiunga jf 28/12/2021
 
Daaa 🥲wengine tunawatafuta hao kwa udi na uvumba mwenzetu anakukera
 
Back
Top Bottom