Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Pole sana, fanya mazoezi na uache kula chipsi. And be a man.mkongo sio kwamba umeshindwa ila naambiwa una madhara mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana, fanya mazoezi na uache kula chipsi. And be a man.mkongo sio kwamba umeshindwa ila naambiwa una madhara mengi
Ni mchaka mchaka tu kila mahali.Waandike barua kwa herufi kubwa [emoji16]
Sikutegemea kama hadi huku wangeomba poo maana ndipo palipokuwa pamebaki wanajisifia nako[emoji2297][emoji2297]kutawala nchi kutawala chumbani [emoji124]
Shukrani mkuuHii itawasaidia na wengine
Chukua mizizi ya papai dume, mizizi ya mgomba dume na mizizi ya mkomamanga, chemsha uwe unakunywa kikombe cha kahawa kila siku mara tatu utaleta mrejesho hapa
Kuna vitunda fulani hivi huwa vinakaa kwenye miti inayotambaa vinakuwa na rangi nyeusi na nyekundu, sasa tunda zile, chukua mizizi yake imenye utoe kile kimti cha katikati kisha unachukua yale maganda uloyachubua ya hiyo mizizi na mbaazi zijae kiganja chemsha kwa pamoja. Hii kunywa maji tu utaleta mrejesho.
Nb. Sitaki mtu pm
Hapo kwenye be a man,tafadhali naomba unifafanulie hasa nini unamaanishaPole sana, fanya mazoezi na uache kula chipsi. And be a man.
Akiwa na mimba ndo atataka kila sekunde, labda hiyo miezi Tisa asafiri.Piga mimba kila mwaka awe busy na watoto...
Ukikua utaelewa.Hapo kwenye be a man,tafadhali naomba unifafanulie hasa nini unamaanisha
Huyo mkeoumshauri nani sasa mimi au mke wangu
Nmefikiria Mpaka Natamani tubadilishane na mtoa mada[emoji4]Pongezi kwa mwanamke mwenzetu kwa kutuwakilisha vema.....
hii kweli awamu ya kike
Inasikitisha Sana mkuu[emoji26]Daaaah, hizo bahati hatukutani nazo watu kama sisi, kweli Dunia haijawahi kubalance kwa kweli
Yaani mtoa mada sijui mungu ampe nini Tena[emoji848]Umepata bahati alafu unalalamika aisee mimi dem wangu yani dk 10 tu ameshachoka
Tena makubwa Sana mkuu[emoji4]Dah Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] aibu nimeona mimi vijana wa dar mnamatatizo sana
Huitajika mema mwenzio[emoji4]Pole sana, achana na hayo mambo, fanya mambo mengine...