Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Akiwa na mimba ndo atataka kila sekunde, labda hiyo miezi Tisa asafiri.
Atakuwa anachoka pia, huku watoto, huku mimba, huku kazi za home...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa na mimba ndo atataka kila sekunde, labda hiyo miezi Tisa asafiri.
Huwez amini ni mtoto wa mzee wa kanisa
Ni kweli ndugu yanguHiyo si hoja hatakama angekuwa mtoto wa askofu.
Dunia ina mengi sana.
😂 😂 😂Piga mimba kila mwaka awe busy na watoto...
Atachepuka kwa siri.. HutajuaKupunguza najua ni ngumu na akichepuka ye aniachie mwanangu akachepuke mazima
Tutakuja kunyweshana sumuHii itawasaidia na wengine
Chukua mizizi ya papai dume, mizizi ya mgomba dume na mizizi ya mkomamanga, chemsha uwe unakunywa kikombe cha kahawa kila siku mara tatu utaleta mrejesho hapa
Kuna vitunda fulani hivi huwa vinakaa kwenye miti inayotambaa vinakuwa na rangi nyeusi na nyekundu, sasa tunda zile, chukua mizizi yake imenye utoe kile kimti cha katikati kisha unachukua yale maganda uloyachubua ya hiyo mizizi na mbaazi zijae kiganja chemsha kwa pamoja. Hii kunywa maji tu utaleta mrejesho.
Nb. Sitaki mtu pm
Atachepuka kwa siri.. HutajuaKupunguza najua ni ngumu na akichepuka ye aniachie mwanangu akachepuke mazima
Mbinu mbadala.. a.k.a mbinu za kuikimbia mbususu... Yaani unataka uikimbie na huku usijulikane kama unaikimbia.. HAPO NDO PENYE SHUGHURI PEVU.. NA MBAYA ZAIDI ANAYETAKIWA KUTOJUAKWAMBA UNAIKIMBIA NI HUYO ANAYETAKA KUMBUSUSULIWA[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu inabidi tutafute mbinu
oyeeeee ✌️✌️✌️✌️wanawake oyeeee
Hahahaaaaaa dah ushauri konki sana huu.Piga mimba kila mwaka awe busy na watoto.
oyeeeee ✌️✌️✌️✌️
Hapa kuna ukweli Fulani hiviPiga mimba kila mwaka awe busy na watoto...
Niliwahi kupata wa hivi!Ndugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.
Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani[emoji119][emoji119][emoji119] imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.
Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa
Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.
Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum[emoji120][emoji120]
Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.
Mwanamke ukimt...a vizur inavyotakiwa hzo hamu hawez sikia hata week nzima ipite..mkuu raise your game tuuNdugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.
Awamu yenu hii. Mnampata na spika wa kike, wanaume tujipange tutaisha...Pongezi kwa mwanamke mwenzetu kwa kutuwakilisha vema.....
hii kweli awamu ya kike