Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

Wengine wanatafuta hiyo bahati
Your browser is not able to display this video.
 


Mpruuu mpaka makah pole sanaaa
Unaweza kuta hata huyo mwenzio ana wenzie wanamtumikisha ili akutumikishe wewe. Haya mambo ni ya rohoni hayaonekani ila mwombe Mungu akusaidie kum-balance ili mlingane
 
sio hatutaki waopenda sema ukiwa uko busy nakutafuta maisha asubuhi umetoka mapema usiku sa 4 umerudi kichwa moto halaf upige mbususu kila siku lazma uichoke halaf ye akiwa anaomba utaona km hauko fiti tu.
 
Mkuu au ndo wewe siku hizi unapita pale kwa mangi unaoeoeauka arafu unakuwa kama uoni mbele?
Maskini leo ndo unatushtua humu, tengeneza kisafari ukaongeze japo madini mwilini ndo maana ngozi yako inakuwa kama mpauko hivi!!?[emoji2][emoji2][emoji2] j o k s
 
Man Down again!!!
 
Daaah! Natamani nipate wa hivyo, hata mimi napenda sana kudinyana na niko tayari muda wote! Sijui vijana wa Dar mnakwama wapi tu.

....Kweli penye njia hakuna wapitaji..
 
Yawezekana mdada ana wivu sana na huyu mtoa mada,na yamkini hii ndio mbinu yake ya ki-CIA ya kumfanya asichepuke.
 
Huwa unamfikisha kileleni lakini cos kumridhisha mwanamke soon kupiga bao ndefu na nyingi tu, Bali Ni maujanja ya kujua Kona za kugusa ili kumkojoza afike anakotaka kufika.
 
Labda kazi kweli zitasaidia ila sio stress....

stress huwa ni kama energy drink yani ukifanya mapenzi huku una stress unakua na nguvu mara dufu hata kuchoka hakupo utajua kesho yake kuwa ulichoka baada ya kupata maumivu ya miguu, mgongo na kiuno

Wew kweli legend.... kwenye stress atakuwa kama kampa dada vumbi la xxx.vid.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…