Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,180
- 2,083
Me pia nimekupenda dada nakadoriUkiona hivyo mwanamke anakupenda...asingekupenda waaaala asingekusumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me pia nimekupenda dada nakadoriUkiona hivyo mwanamke anakupenda...asingekupenda waaaala asingekusumbua
We penda penda tuuu utakuja penda majini shauri yako...Me pia nimekupenda dada nakadori
Siogopi mrembo ajali kazini ..[emoji3]We penda penda tuuu utakuja penda majini shauri yako...
[emoji1787][emoji1787]
Sisi tunapata wavivu wa mapenzi, mimi nataka kama huyo mwenye maruhani ya ngono, ili nimzagamue kila sekunde na kila dakika.Mwanaume kuomba kutafutiwa demu na mwanaume mwenzako ni udhaifu
Ngojea yakikukuta utarudi na uzi mwengine kama huuSisi tunapata wavivu wa mapenzi, mimi nataka kama huyo mwenye maruhani ya ngono, ili nimzagamue kila sekunde na kila dakika.
Ww endelea kula kiepe yai ukiwa ndani ya kiyoyozi muda wote.Ngojea yakikukuta utarudi na uzi mwengine kama huu
Maisha yenyewe hayahaya.....wacha tufurahi,Ww endelea kula kiepe yai ukiwa ndani ya kiyoyozi muda wote.
Sisi wakina yakhe kuchakata ndio furaha yetu mkuu.Maisha yenyewe hayahaya.....wacha tufurahi,
We unataka kuyamalizia kitandani
Hata kama unachakata lazima kuwe na kipimo mzeee babaSisi wakina yakhe kuchakata ndio furaha yetu mkuu.
Kwaajili ya kuoa au kupiga na kusepa?Namtafuta sana wa hivyo ila sijawah mpata
Tupia kanamba kake mkuu maisha ni kusaidianaNdugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.
Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh
Nipe Namba zake,nikusaidie Mkuu.Maisha ni kusaidiana Ktk shida na raha,na sisi JF ni familia moja sio vema kukuacha ukiteseka bila kukusaidia.Ndugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.
Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani[emoji119][emoji119][emoji119] imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.
Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa
Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.
Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum[emoji120][emoji120]
Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaah hii JFPiga mimba kila mwaka awe busy na watoto...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pongezi kwa mwanamke mwenzetu kwa kutuwakilisha vema.....
hii kweli awamu ya kike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wape muongozo bas.Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Kwa ubishi wa binadamu wa siku hizi, miongozo ni kazi bure...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wape muongozo bas.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee mtu lolKwa ubishi wa binadamu wa siku hizi, miongozo ni kazi bure...