Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,
Money Penny: Hongera
Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa
Money Penny; nambie mpendwa
Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa
Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa
Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?
Money Penny: haya wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku
Money Penny: Hongera
Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa
Money Penny; nambie mpendwa
Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa
Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa
Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?
Money Penny: haya wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku