Mpenzi wangu anasema ameokoka, lakini anataka nimpe utamu, je nifanyaje?!

Mpenzi wangu anasema ameokoka, lakini anataka nimpe utamu, je nifanyaje?!

Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,

Money Penny: Hongera

Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa

Money Penny; nambie mpendwa

Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa

Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa

Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?

Money Penny: hawa wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku
Kama nawewe umeokoka muache huyo, ni mbwa mwitu.
Mungu atakupa mume mwema kwa wakati wake
 
Kawa kimya kwa muda gani,isije kuwa mwezi tu? Labda anajizuia na vishawishi kwa kuweka distance wakati anasubiri kumuoa🤣.

Kawa kimya neno pana, inawezekana kamaanisha jamaa hampi tena fedha?Vipi na fedha na zawadi za jamaa alikuwa anasema pia atapokea siku akiolewa?

Vipi na yeye binafsi huyo mwanamke, anamudu vipi ukame? Wanaume na sisi sometimes tuna machale, huenda kaona kitu, huenda mwanamke ana issue yake pembeni.

Amtafute sasa, washauriane wafunge ndoa fasta tu, sherehe baadae. Ili wasiteseke.
 
Kawa kimya kwa muda gani,isije kuwa mwezi tu? Labda anajizuia na vishawishi kwa kuweka distance wakati anasubiri kumuoa🤣.

Kawa kimya neno pana, inawezekana kamaanisha jamaa hampi tena fedha?Vipi na fedha na zawadi za jamaa alikuwa anasema pia atapokea siku akiolewa?

Vipi na yeye binafsi huyo mwanamke, anamudu vipi ukame? Wanaume na sisi sometimes tuna machale, huenda kaona kitu, huenda mwanamke ana issue yake pembeni.

Amtafute sasa, washauriane wafunge ndoa fasta tu, sherehe baadae. Ili wasiteseke.

Pesa na zawadi alikuwa hachukui za Huyo mwanaume
Amekaa kimya zaidi ya mwezi sasa hamna mawasiliano

Kwanini mwanamke amtafute mwanaume wakati mwanaume ndio aliemfuata kumtaka kimapenzi??

Ukame WA mwanamke unadhibitiwa na Yesu Kristo maana mwili wake NI hekalu la Roho Mtakatifu, hayo mambo ya mwili amemwachia Bwana Yesu

Lastly,
Ukisema umeokoka, tuonyeshe basi na Kwa vitendo sio kumtania Mungu na kuumiza mwili WA Kristo just because unazo thamani za kidunia
 
Pesa na zawadi alikuwa hachukui za Huyo mwanaume
Amekaa kimya zaidi ya mwezi sasa hamna mawasiliano

Kwanini mwanamke amtafute mwanaume wakati mwanaume ndio aliemfuata kumtaka kimapenzi??

Ukame WA mwanamke unadhibitiwa na Yesu Kristo maana mwili wake NI hekalu la Roho Mtakatifu, hayo mambo ya mwili amemwachia Bwana Yesu

Lastly,
Ukisema umeokoka, tuonyeshe basi na Kwa vitendo sio kumtania Mungu na kuumiza mwili WA Kristo just because unazo thamani za kidunia
Uko sawa, na mchizi yuko sawa. Kanisani haonekani?

Hata tawi jingine la kanisa hilo, huenda yupo katika mfungo akimuuliza roho mtakatifu. Mwezi mmoja ukichanganya na race za siku hizi kimaisha ni siku chache, amsubiri amalize tafakuri na tafakari zake. Kama anashindwa amuulize tu
 
Uko sawa, na mchizi yuko sawa. Kanisani haonekani?

Hata tawi jingine la kanisa hilo, huenda yupo katika mfungo akimuuliza roho mtakatifu. Mwezi mmoja ukichanganya na race za siku hizi kimaisha ni siku chache, amsubiri amalize tafakuri na tafakari zake. Kama anashindwa amuulize tu
ivi kwani Yesu ameishiwa wanaume mpaka ubembeleze mwanaume mmoja kama unabembeleza kuingia Mbinguni?

Yesu ana wanaume maelfu wasiopiga goti kwa baali, amejibakizia watakatifu wanaosubiria unyakuo why waiting on someone ambae anachezea neema ya Kristo kwa watoto wa Kristo?
 
𝐡𝐚𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐨𝐤𝐨𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐧𝐳𝐢𝐚 𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐭𝐨𝐯𝐮 𝐡𝐢𝐲𝐨 𝐧𝐢 𝐬𝐞𝐡𝐞𝐦𝐮 𝐲𝐚 𝐬𝐡𝐞𝐭𝐚𝐧𝐢 𝐭𝐮 𝐥𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐧𝐚𝐬𝐚. 𝐔𝐤𝐢𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐢𝐚 𝒄𝒂𝒎𝒆𝒍𝒕𝒐𝒆 𝒑𝒖𝒔𝒔𝒚 𝒉𝒂𝒕𝒂 𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒂𝒏𝒂 𝑯𝑰𝑽 𝒂 𝒄𝒖𝒄𝒖𝒎𝒃𝒆𝒓 𝒘𝒊𝒍𝒍 𝒔𝒕𝒂𝒏𝒅 𝒔𝒕𝒓𝒂𝒊𝒈𝒉𝒕.
 
𝐡𝐚𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐨𝐤𝐨𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐧𝐳𝐢𝐚 𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐭𝐨𝐯𝐮 𝐡𝐢𝐲𝐨 𝐧𝐢 𝐬𝐞𝐡𝐞𝐦𝐮 𝐲𝐚 𝐬𝐡𝐞𝐭𝐚𝐧𝐢 𝐭𝐮 𝐥𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐧𝐚𝐬𝐚. 𝐔𝐤𝐢𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐢𝐚 𝒄𝒂𝒎𝒆𝒍𝒕𝒐𝒆 𝒑𝒖𝒔𝒔𝒚 𝒉𝒂𝒕𝒂 𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒂𝒏𝒂 𝑯𝑰𝑽 𝒂 𝒄𝒖𝒄𝒖𝒎𝒃𝒆𝒓 𝒘𝒊𝒍𝒍 𝒔𝒕𝒂𝒏𝒅 𝒔𝒕𝒓𝒂𝒊𝒈𝒉𝒕.
kiru
kuna watu hawatoi wanamcha Mungu acha drama unaonekana weird
 
Back
Top Bottom