Mpenzi wangu anasema ameokoka, lakini anataka nimpe utamu, je nifanyaje?!

Mpenzi wangu anasema ameokoka, lakini anataka nimpe utamu, je nifanyaje?!

Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,

Money Penny: Hongera

Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa

Money Penny; nambie mpendwa

Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa

Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa

Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?

Money Penny: hawa wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku
Hivi dunia hii ya sasa kuna mtu mwenye ujasiri wa kuoa/olewa na mtu ambae hajam test kweli? Hivi huyo dada akiolewa halafu ukute jamaa hasimamishi itakuaje humo ndani? Au yeye anachowaza ni kuvaa shela tu..?
 
Hivi dunia hii ya sasa kuna mtu mwenye ujasiri wa kuoa/olewa na mtu ambae hajam test kweli? Hivi huyo dada akiolewa halafu ukute jamaa hasimamishi itakuaje humo ndani? Au yeye anachowaza ni kuvaa shela tu..?
Atafanya maombi itasimama Kwa imani
 
Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,

Money Penny: Hongera

Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa

Money Penny; nambie mpendwa

Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa

Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa

Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?

Money Penny: hawa wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku
Kwakuwa sex ni hitaji la mwili Kwa Mtu me au ke aliyekamilka,na kwakuwa mwili hushindana na roho(endapo ameokoka kweli) basi yampasa Mtu Me au Ke kuuchosha/ kuushughulisha mwili zaidi katika kazi za mikono na akili,na kuzidisha neno la Mungu katika nafsi yake ili kufunika wazo la sex..
Angalizo; Punyeto sio mbadala...
 
Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,

Money Penny: Hongera

Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa

Money Penny; nambie mpendwa

Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa

Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa

Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?

Money Penny: hawa wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku
Unaweza kumpa utamu na ukaolewa na usimpe na usiolewe,

All in all mapenzi hayana formula, kwani wew huna ugwadu money penny mbless mwana utamu bhana kikubwa mpime ili uwe salama na yeye awe salama[emoji38][emoji38]

Mimi mwanamke akininyima utamu nayeyuka MITA 80000
 
Kwakuwa sex ni hitaji la mwili Kwa Mtu me au ke aliyekamilka,na kwakuwa mwili hushindana na roho(endapo ameokoka kweli) basi yampasa Mtu Me au Ke kuuchosha/ kuushughulisha mwili zaidi katika kazi za mikono na akili,na kuzidisha neno la Mungu katika nafsi yake ili kufunika wazo la sex..
Angalizo; Punyeto sio mbadala...
Amen pastor
 
Unaweza kumpa utamu na ukaolewa na usimpe na usiolewe,

All in all mapenzi hayana formula, kwani wew huna ugwadu money penny mbless mwana utamu bhana kikubwa mpime ili uwe salama na yeye awe salama[emoji38][emoji38]

Mimi mwanamke akininyima utamu nayeyuka MITA 80000
Kuna waliotoa utamu wakaachwa solemba na vilio
 
Huyo mlokole demu nae jau tu. Unakibanana bana mpk lini? Mchungaji tu usiku anakwichikwichi na mkewe sasa yeye anamnyimia nini mpenzi wake?
 
Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,

Money Penny: Hongera

Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa

Money Penny; nambie mpendwa

Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa

Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa

Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?

Money Penny: hawa wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku

Sa utaoaje mwanamke hujawah kumtomba ? Mbona haiwezekani…
 
Back
Top Bottom