muvangulumemile
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 686
- 966
Mwenye bikra ndio ana haki ya kukataa sasa wewe una tobo majamaa wamekulaa weee alafu unajidai unaringaKwani mwanaume alifuata bikra Kwa mwanamke au mapenzi au tendo la ndoa?
Kama anataka bikra si aende Kwa masista
Hivi dunia hii ya sasa kuna mtu mwenye ujasiri wa kuoa/olewa na mtu ambae hajam test kweli? Hivi huyo dada akiolewa halafu ukute jamaa hasimamishi itakuaje humo ndani? Au yeye anachowaza ni kuvaa shela tu..?Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,
Money Penny: Hongera
Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa
Money Penny; nambie mpendwa
Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa
Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa
Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?
Money Penny: hawa wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku
Bikra ipi??!Mwenye bikra ndio ana haki ya kukataa sasa wewe una tobo majamaa wamekulaa weee alafu unajidai unaringa
Atafanya maombi itasimama Kwa imaniHivi dunia hii ya sasa kuna mtu mwenye ujasiri wa kuoa/olewa na mtu ambae hajam test kweli? Hivi huyo dada akiolewa halafu ukute jamaa hasimamishi itakuaje humo ndani? Au yeye anachowaza ni kuvaa shela tu..?
HahahahaMwambie ampe utamu mwenzie Kuna Viungo vingine huwa haviokoki
Kwakuwa sex ni hitaji la mwili Kwa Mtu me au ke aliyekamilka,na kwakuwa mwili hushindana na roho(endapo ameokoka kweli) basi yampasa Mtu Me au Ke kuuchosha/ kuushughulisha mwili zaidi katika kazi za mikono na akili,na kuzidisha neno la Mungu katika nafsi yake ili kufunika wazo la sex..Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,
Money Penny: Hongera
Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa
Money Penny; nambie mpendwa
Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa
Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa
Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?
Money Penny: hawa wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku
Hahaaa... haya bana 😀Atafanya maombi itasimama Kwa imani
Unaweza kumpa utamu na ukaolewa na usimpe na usiolewe,Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,
Money Penny: Hongera
Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa
Money Penny; nambie mpendwa
Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa
Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa
Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?
Money Penny: hawa wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku
Amen pastorKwakuwa sex ni hitaji la mwili Kwa Mtu me au ke aliyekamilka,na kwakuwa mwili hushindana na roho(endapo ameokoka kweli) basi yampasa Mtu Me au Ke kuuchosha/ kuushughulisha mwili zaidi katika kazi za mikono na akili,na kuzidisha neno la Mungu katika nafsi yake ili kufunika wazo la sex..
Angalizo; Punyeto sio mbadala...
Kuna waliotoa utamu wakaachwa solemba na vilioUnaweza kumpa utamu na ukaolewa na usimpe na usiolewe,
All in all mapenzi hayana formula, kwani wew huna ugwadu money penny mbless mwana utamu bhana kikubwa mpime ili uwe salama na yeye awe salama[emoji38][emoji38]
Mimi mwanamke akininyima utamu nayeyuka MITA 80000
mpenzi sio mkeHuyo mlokole demu nae jau tu. Unakibanana bana mpk lini? Mchungaji tu usiku anakwichikwichi na mkewe sasa yeye anamnyimia nini mpenzi wake?
Kazi ya mpenzi na ya mke ni hiyo hiyo mojampenzi sio mke
mpenzi hajahalalishwaKazi ya mpenzi na ya mke ni hiyo hiyo moja
Sasa kwa nini anaitwa mpenzi?mpenzi hajahalalishwa
Mpendwa: Money Penny, Mimi nipo na Mpenzi wangu, anasema ameokoka na tunasali, tunaomba, tunafunga, kanisani anakuja fresh Tu,
Money Penny: Hongera
Mpendwa: hakuna cha hongera ndio maana nipo kwako hapa
Money Penny; nambie mpendwa
Mpendwa: Yani mpenzi huyu ameonyesha dalili zote za kunitaka nimpe utamu, nikamtolea uvivu siku moja akasema kweli anataka utamu toka kwangu, nikamkatalia, akasema basi Sawa atavumilia nikiwa tayari kumpa nitampa
Nikamwambia Mimi SITOI sehemu zangu za siri mpaka umenioa, akasema sawa
Mpaka nakuandikia SMS hii hatujawasiliana tena, nifanyaje penny?
Money Penny: hawa wale wanaume mliookoka, muje mumsaidie mpendwa mwenzenu ame-stuck huku
mbona inawezekanaSa utaoaje mwanamke hujawah kumtomba ? Mbona haiwezekani…
ulichagua kuishi nae baadae kwenye ndoaSasa kwa nini anaitwa mpenzi?