Mmilikishe kiwanja kwsnza maana wanawske hamuelewekieagles eye..ana akili sana aseeee...
Huyo ni mwamba, apewe nyundo yakeTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingixe kwenye ujenzi haina haja ya kukua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property [emoji848] sio ubinafsi huo,? Na why muwaze kuachana mpka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Bora mwanamke ajenge kwenye kiwanja cha Mwanaume. Ila sio kiwanja cha Mwanamke we mwanaume ukajenge imekula kwako.Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingixe kwenye ujenzi haina haja ya kukua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property [emoji848] sio ubinafsi huo,? Na why muwaze kuachana mpka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
😆😆😆Yaan unataka kujipatia nyumba kama vile unashuka kwenye kitonga
Mpenzi wako yupo njia kuu, nashauri apewe maua yake...🤗Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingixe kwenye ujenzi haina haja ya kukua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property [emoji848] sio ubinafsi huo,? Na why muwaze kuachana mpka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Huyo ndio Mwamba sasaSafi kabisa, mwamba anatuwakilisha vyema wanaume
Tukiwa na wanaume wengi kama hawa Nyuzi za kulia lia zitapungua sana kama sio kuisha.Mpenzi wako yupo njia kuu, nashauri apewe maua yake...🤗
Simple, andikishaneni Prenuptial agreement. Dunia ina mengi hiiTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.