Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Akijenga atakua msengeee mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuhTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
👍👍Naungana nae hakuna kujenga asije juta mbeleni. Ya kesho hayajulikani.
NaamAkijenga atakua msengeee mmoja
NaamEagles eye..ana akili sana aseeee...
HahahaKama wewe ni mwanamke simshauri ajenge kwenye kiwanja chako...
Halafu ni mpenzi tu sio mchumba...
Mchumba hajengewi, mchumba asomeshwi....
Kiwanja chako jenga mwenyewe
,Huyo ndio mwanaume kamili, angekubali kujenga baadae ungemdharau mno
NaamKama kweli wewe una nia nzuri na huyo mwanaume muuzie hicho kiwanja kwa bei nzuri, Alafu ajenge nyumba muishi.... Ukishindwa kufanya hivyo basi yupo sahihi kuwa na wasiwasi
Kama una mapenzi hasa na huyo mwanaume badilisha jina la kiwanja lisome lake.
Hapo hata yeye atakuwa na amani kujenga, kinyume na hapo kila mtu abaki na kilicho chake. Yeye abaki na pesa zake na wewe ubaki na kiwanja chako.
Maisha sio rahisi hivyo kama unavyotaka kujiaminisha.
Swali jepesi tu, ingekuwa wewe kakwambia ujenge kwenye kiwanja chake ungekubali?