Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Location ya viwanja inavutia sana, sema huwa una vision kubwa sana[emoji23]
Kukuta binti ana vision kubwa kama yako ni nadra sana, chukua maua yako[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23] Endelea
Leo uko kuharibu kwingine
Kukuta binti ana vision kubwa kama yako ni nadra sana, chukua maua yako[emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23] tatizo langu huwa ni kuweka vitu wazi. Naacha kuanzia leo, I'm sorry[emoji119]Endelea [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo misifa unayonijaza siitaki
Hujanielewa!Tatizo lipo wapi? Kwani wenzetu huwa mna wake wa aina gani ambao hamuwaamini?
Wewe ni ke au me? Kama ni ke, hakuna mwanaume timamu atajenga kwenye hicho kiwanja. Mnakuaga na swaga za kuvizia mtu nyie, mkifanikisha lenu mnaanza mambo ya ushuzi ushuziTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Wewe ni jambazi kabisa yani wewe ni jambazi suguTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Kabisa🤣Eagles eye..ana akili sana aseeee...
Kafanya mkuu hajanya hizi cm janja zinakua zinaongeza maneno.maana Kanya
Kwanini ajenge hapo?Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Munyu ni hatariNasimama na mchumba wako/wetu.....asijenge hapo.
Usione jamaa hakupendi lia tahadhali ni bora sana,Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Wewe ni tapeliTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.