dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
acha tamaa aisee, tafuta cha kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo umekuja kumsuta mpenzi wako?Hakuna sehemu nimeomba ushauri boss
...acha tamaa mwanangu,alinifunza mama aliyenizaa.Acha tamaa!Tamaa...tamaaa"...!Kwa hisani ya FM Academia.acha tamaa aisee, tafuta cha kwako
chini ya producer nguli kabisa Allan Sentehisani ya FM Academia
Marhabaaa! Ndiyo inakwendaga vile!chini ya producer nguli kabisa Allan Sente
🤣🤣🤣Wetu lol [emoji23]
Jamaa kasanukaWapi nimeonesha tamaa?
Au hujaelewa
Uchaguzi upo mikononi mwake.Asiseme hatukusema.The eagle eye once said all options are on the table.
Upo kama mimi mkuuBora mwanamke ajenge kwenye kiwanja cha Mwanaume. Ila sio kiwanja cha Mwanamke we mwanaume ukajenge imekula kwako.
Mimi mke wangu ana pesa ila sijawahi mwambia achangie hata ujenzi wala sitaki anichangie hata Ada ya watoto. Hata Chumvi kununua sitaki.
Pesa zake akajenge kiwanja kingine atapangisha apate pesa.
Sitaki dharau mimi😆😆
Aise! Kwa mara ya kwanza toka nijiunge jf naona mawardat anayoa point ya msingi sana. Hongera kunywa soda kwa bill yako hapo ulipo.Simshauri. Usichukulie poa.
Jenga mwenyewe kama unaweza,labda kama mwanaume mpumbavu anaweza fanya hivyo.
Hawakawii kwenda ustawi wa jamii hao.Utasikia..."nataka kiwanja changu.Ondoa nyumba yako"...!Khaaaa,teeeenaaa!?Jamaa kasanuka
Humpigi Kizembe, Safi Sana
hapa ukimuona kama mtu vile,Hawakawii kwenda ustawi wa jamii hao.Utasikia..."nataka kiwanja changu.Ondoa nyumba yako"...!Khaaaa,teeeenaaa!?
Chao chao.Chako cha familia.Akili kumutwe.hapa ukimuona kama mtu vile,
subiri kinuke, makucha yanatolewa