Mpenzi wangu anataka nimuhudumie kama mke wangu

Mpenzi wangu anataka nimuhudumie kama mke wangu

Pengine kuna mambo hakuyaelewa juu ya mzazi mwenzie ndo maana akaogopa kuhudumia, ukute mtoto alikuwa na baba wane
Baba mtoto alikuwa ana muhudumia kabla ya mimba na Ali hudumia mimba baada ya mtoto kuzaliwa tu Baba mtoto akaingia mitini na alikuwa ana mlipia kod nyumba nzima
 
Mimi nilimwambia siwez kulipa Ada %100, Baba mtoto yupo hai na kanizid kiuchumi na nikijana kama mimi tu, na alikuwa anatoa huduma vizur sema baada ya kujifungua tu jamaa haka kata Mawasiliano na huduma hatoa ya mtoto.
Sasa kama unaona huyo mwanamke huwezi kumuhudumia mtoto wake kwanini usitafute mwanamke ambaye hana mtoto ukamfanya awe mpenzi wako

Mbona wanawake wako kibao ambao hawana watoto au Mzee baba haujui kutongoza
 
Labda na uwewe unamkula sana jamani.

Hebu ule kwa kipimo Ili majukumu unayopewa upewe kwa kipimo pia.

Mbipiane wewe ubipu kukula yeye abipu kukuchuna
 
Shida ni kwamba mkipewa bure ujiko,mkiombwa huduma hatufai.Yaan dunia ya sasa wanaume ni wachache sana
Tatizo siyo kutoa huduma tatizo kubeba majukum ya mwanaume mwenzangu wakat ana uwezo mkubwa kunizid Mimi kabla ya mtoto kuzaliwa alikuwa ana toa huduma.
 
Yataka moyo kulea bao la mwanaume mwenzio tena anayepumua
angalau kidogo angekuwa kafa ningekushauri jinsi ya kuishi na hiyo mbususu
 
Sijanusa hata povu, ndio narudi hom kwanza halafu niende Juliana.
Okay Sawa.

Enzi za bata Juliana niliendaga once. Sikuenjoy kivile sababu kwanza ni mbali na ninapoishi.

Marafiki zangu wa kiume walinichukua tukaenjoy. Kufika huko ni totoz totoz Wana disappear kwa zamu. Lol
 
Kuna vitu vingine kama huna hela achana navyo utajipa majukumu mengi kupita uwezo wako upate msongo wa mawazo. Mtu pekee anaweza kuwa na wanawake kama hao ni mwanaume tajiri ambae vitu kama ada sijui kodi ni pocket change tu. Maisha yako magumu tafuta manzi ambae hana majukumu mengi alafu tafuta hela sana. Ila kumbuka hata mkono wako wa nyeto utakudai vaseline.
 
Tatizo siyo kutoa huduma tatizo kubeba majukum ya mwanaume mwenzangu wakat ana uwezo mkubwa kunizid Mimi kabla ya mtoto kuzaliwa alikuwa ana toa huduma.
Bhana,embu simama na maamuzi yako,angalia afya ya moyo wako...sio unaumia na vitu vipo ndani ya uwezo wako kuviamua.Tazama moyo unataka nn then decide it
 
Okay Sawa.

Enzi za bata Juliana niliendaga once. Sikuenjoy kivile sababu kwanza ni mbali na ninapoishi.

Marafiki zangu wa kiume walinichukua tukaenjoy. Kufika huko ni totoz totoz Wana disappear kwa zamu. Lol
Mimi huko ni mtaani kwetu, naenda na malapa tu.
 
Yataka moyo kulea bao la mwanaume mwenzio tena anayepumua
angalau kidogo angekuwa kafa ningekushauri jinsi ya kuishi na hiyo mbususu
Nikwel bora ulee yatima, baba mtoto yupo tena ana uwezo , kama Baba mtoto alikuwa ana uwezo wakulipa kod ya nyumba nzima na kulimpia tiket ya ndenge kwenda kunifungua kitu gan kina mfanya kulipa Ada ya mwanae
 
Back
Top Bottom