Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ukipenda boga penda na ua lakeNina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.
Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.
Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.
Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.
Baba mtoto yupo tena tunaish wilaya moja tena kiuchumi yupo vizurLea mtoto na mama yake weye zuzu!Sasa unataka nani awalee?Yesu mwenyewe alilelewa na Joseph baba mlishi na haikuleta ngendembwe!Tuliza kipago aka mpanti mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji106][emoji106]
Weye lea wote.Ndiyo uanaume.Wote tutakupigia makofi na kusema kwa sauti iliyo kuu..."jaap is a "jentromani"!πππππππBaba mtoto yupo tena tunaish wilaya moja tena kiuchumi yupo vizur
Sasa wewe unakwama wapi baharia mwenzangu au umelogwa, mbona unatuaibisha wanaume?Nikwel bora ulee yatima, baba mtoto yupo tena ana uwezo , kama Baba mtoto alikuwa ana uwezo wakulipa kod ya nyumba nzima na kulimpia tiket ya ndenge kwenda kunifungua kitu gan kina mfanya kulipa Ada ya mwanae
Nina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.
Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.
Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.
Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.
Kuna video za youtube zinafundisha kuhusu hilo suala, nenda kagoogle "never date a single mom"Nina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.
Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.
Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.
Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.
Na Mimi Nina mtoto tatizo yeye ana taka nilimpie mwanae Ada kubwa kuliko mwananguUkipenda boga penda na ua lake.
Kwani mademu ambao hawana watoto haukuwaona mpaka ukaenda kwake? Unaanzisha uhusiano na mtu wakati unajua matokeo yake yanaweza kuwa kupata mtoto au kupata NGOMA , Ukipata mtoto utajiandaa kwa malezi,sasa ushaanza kukimbia mapema majukumu je mkishapata familia si utamkimbia kabisa?
Bahar najiona kama namikosi yan kila dem nikimpata lazma anakuwa kasha zalishwaSasa wewe unakwama wapi baharia mwenzangu au umelogwa, mbona unatuaibisha wanaume?
Huyo achana nae tafuta hela za kutosha ila usipige nazo picha, baada ya hapo tafuta mwanamke ambaye Hana mtoto ukipata bikra itapendeza zaidi japo siyo lazima
Wakati unatafuta hela simaanishi kwamba usiwatafune hapana
Unakula kimyakimya mda huu kuwa kama ndege tai chezacheza huku unaangalia timing zako tu,
Katika huo mchakato ni marufuku kujenga kambi
Na Mimi Nina mtoto tatizo yeye ana taka nilimpie mwanae Ada kubwa kuliko mwanangu
Umewahi kucheza kamali au hii ndo yako ya kwanza mkuu luteniNina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.
Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.
Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.
Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.