Mpenzi wangu hajawahi kuwa na 'love mood'

Mpenzi wangu hajawahi kuwa na 'love mood'

mkuu uhuwa unamuonaga mwili wake wote au anaufichaficha
mana ktk pilikapilika za ujana nishakutanaga na demu dizaini yako nikachungunguza ttzo nini
loh ! kumbe yule demu ana BONGE LA KITOVU km CHUNGWA ndo mana staili ya yeye kuwa top hataki na kifo cha mende anaficha na gagulo mikono tumboni ndo hta ukimshikashika kumuandaa hataki umuandae kwa muda mrefu

cha msingi kabla hujamuacha chunguza hilo swala linasababishwa na nini na ukigundua jaribu kukubaliana na hali halisi mana huwezi kupata mwanamke aliyekamilika kila idala kila mmoja ana mapungufu yake
Unaweza muacha huyo harafu ukamjutia baadaye
yaani hapo ushakanyaga matope baada kuruka maji
Ila ukumbuke tatizo lake liko sehemu mbaya sana, ni bora afanye uchunguze ajue ni nini tatizo na atamsaidiaje akiona mabadiliko ndo aoe. kufanya mapenzi mke na mume inachukuwa nafasi kubwa.
 
huenda yule aliyemzalisha akamuacha kamuachia majeraha ambapo anayachukia mapenzi
Itakuwa aliathirika kisaikolojia kutokana na hayo mahusiano yake ya mwanzo, hivyo wapate wataalam wa saikoloji ili wapate kumshauri na hali yake ya hisia kwa mpenziye irudi.
 
Kwanza labda nikuulize Huyo mtoto ana umri gani?? mana kama hajatimiza miaka 2 usikute ana wasiwasi ukimnyonya chuchu itatoka na maziwa, au anaogopa kumbemenda mtoto kama tulivyoaminishwa ndio mana hayuko huru ana woga Fulani.

Pili upo uwezekano uhusiano wake wa mwanzo umemuathiri kwa kiasi kikubwa, muweke sawa asahau yalopita, Na je mazingira mnayofanyia mapenzi mtoto anakuwa wapi?? yani huyo ana kitu kina msumbua tu labda hayuko free hapo kwake, jaribu siku moja kumtoa mwende hotel, na wewe usiwe unamshika shika na kumbusu ukiwa unataka kumgegeda tu, kama hamuishi pamoja kila unapoenda kwake kama mtoto hayuko karibu, mpige busu, mnyonye mdomo, then muache, kama alikuwa anapika aendelee na kazi zake, ukiondoka mkumbatie mpige busu mnyonye mdomo nenda zako. ukiwa umekaa nae nae faragha mikono yako iwe inatembea kweney mwili hata kama huna mpango wa kumgegeda usiwe unakaa nae kama dada yako, mtofautishe anapokuwa kaka na mpenzi wake na akiwa na kaka yake, sio umekaa na mwanake kama kama mko kwenye kikao cha kamati kuu. ukimzoesha hizo bashasha naamini kidogo dogo atabadilika na kuzoe, hata ukiwa una mgegeda usiwe unamwambia geuka kama uko kwenye gwaride mnaagizana na kuamrishana, wewe ukichoka na style ya mwanzo mgeuze mwenyewe muweke unavyotaka, au ukimuweke pia anarudi faster style nyingien????? halfu ukumbuke unazini, ufanye umuoe yaishe.
 
Hapo ndio baadhi yetu wanawake wengi tunakosea,ile nisehemu ya kufurahi unalalaje kama gogo jamani? mfinye kodogo LOL
nadhani pata mda wa kumueleza nini una enjoy zaidi kwenye mapenzi sababu wengine wameyavamia mapenzi lakini hajui
mda gani wakuacha matatizo yake pembeni aingie kwenye uwanja wa Mapenzi sio kukufurahisha wewe tuu bali na yeye pia afurahi,mie sioni tabu kumwambia mume wangu nini penda anifanyie juu ya kua utakua mtundu lakini kuna time ukiwa kama mwanamke tafuta nji a yakumfanya mumeo au mpenzi wako afunguke nini ana enjoy zaidi,sasa ukilala kama gogo hujulikani unapenda au hupendi au unabakwa,au ndio wale wanaosema kufanya mapenzi au kuchakarika chumbani mume atakuona Malaya? khaaa! mie anione anavyojisikia atajua mwenyewe natete number yangu isije ikachukuliwa na mtu na hata kama akienda kwa mwengine afanye kazi ya ziada kukupokonya mumeo/au mpenzi wako sababau unajua nini anapenda na unampa na ziada.,nisikuchoshe Mkuu mweleze nini unapenda mfundishe style pole pole,sio kila siku chumbani tuu,mechi nyengine ukumbini nyengine jikoni yani jitoe fahamu .....lol
Thanks for your good advice, I will try to do that
 
Huyo Dada anahitaji canceling ya nguvu... huenda alikua disappointed sana mwanzoni...kama unampenda mtaftie mwna psycologia ajaribu kuongea nae ...Ila kama humpendi muache kiroho safi
 
Kwanza labda nikuulize Huyo mtoto ana umri gani?? mana kama hajatimiza miaka 2 usikute ana wasiwasi ukimnyonya chuchu itatoka na maziwa, au anaogopa kumbemenda mtoto kama tulivyoaminishwa ndio mana hayuko huru ana woga Fulani.

Pili upo uwezekano uhusiano wake wa mwanzo umemuathiri kwa kiasi kikubwa, muweke sawa asahau yalopita, Na je mazingira mnayofanyia mapenzi mtoto anakuwa wapi?? yani huyo ana kitu kina msumbua tu labda hayuko free hapo kwake, jaribu siku moja kumtoa mwende hotel, na wewe usiwe unamshika shika na kumbusu ukiwa unataka kumgegeda tu, kama hamuishi pamoja kila unapoenda kwake kama mtoto hayuko karibu, mpige busu, mnyonye mdomo, then muache, kama alikuwa anapika aendelee na kazi zake, ukiondoka mkumbatie mpige busu mnyonye mdomo nenda zako. ukiwa umekaa nae nae faragha mikono yako iwe inatembea kweney mwili hata kama huna mpango wa kumgegeda usiwe unakaa nae kama dada yako, mtofautishe anapokuwa kaka na mpenzi wake na akiwa na kaka yake, sio umekaa na mwanake kama kama mko kwenye kikao cha kamati kuu. ukimzoesha hizo bashasha naamini kidogo dogo atabadilika na kuzoe, hata ukiwa una mgegeda usiwe unamwambia geuka kama uko kwenye gwaride mnaagizana na kuamrishana, wewe ukichoka na style ya mwanzo mgeuze mwenyewe muweke unavyotaka, au ukimuweke pia anarudi faster style nyingien????? halfu ukumbuke unazini, ufanye umuoe yaishe.
Ushaur mzur sana, haitakiwi amwache inatakiwa akomae nae bora tu uyo mwanamke hachepuk na wanaume wengne. Unaeza ukamwacha af ukaja kupata gubegube linagawa simchezo
 
Kwanza labda nikuulize Huyo mtoto ana umri gani?? mana kama hajatimiza miaka 2 usikute ana wasiwasi ukimnyonya chuchu itatoka na maziwa, au anaogopa kumbemenda mtoto kama tulivyoaminishwa ndio mana hayuko huru ana woga Fulani.

Pili upo uwezekano uhusiano wake wa mwanzo umemuathiri kwa kiasi kikubwa, muweke sawa asahau yalopita, Na je mazingira mnayofanyia mapenzi mtoto anakuwa wapi?? yani huyo ana kitu kina msumbua tu labda hayuko free hapo kwake, jaribu siku moja kumtoa mwende hotel, na wewe usiwe unamshika shika na kumbusu ukiwa unataka kumgegeda tu, kama hamuishi pamoja kila unapoenda kwake kama mtoto hayuko karibu, mpige busu, mnyonye mdomo, then muache, kama alikuwa anapika aendelee na kazi zake, ukiondoka mkumbatie mpige busu mnyonye mdomo nenda zako. ukiwa umekaa nae nae faragha mikono yako iwe inatembea kweney mwili hata kama huna mpango wa kumgegeda usiwe unakaa nae kama dada yako, mtofautishe anapokuwa kaka na mpenzi wake na akiwa na kaka yake, sio umekaa na mwanake kama kama mko kwenye kikao cha kamati kuu. ukimzoesha hizo bashasha naamini kidogo dogo atabadilika na kuzoe, hata ukiwa una mgegeda usiwe unamwambia geuka kama uko kwenye gwaride mnaagizana na kuamrishana, wewe ukichoka na style ya mwanzo mgeuze mwenyewe muweke unavyotaka, au ukimuweke pia anarudi faster style nyingien????? halfu ukumbuke unazini, ufanye umuoe yaishe.
Mtoto wake mwaka huu anatimiza miaka 4
 
IF YOU ARE NOT IN LOVE MOOD - KAMA HAUPO KATIKA HALALI YA KUFANYA MAPENZI NA HAUNA BIFU NA MTU,

THEN WASIALIANA NAMI INAWEZEKANA TUKAPATA UFUMBUZI +255 655 580 788
 
Maybe hammatch,maybe bado ana majeraha ambayo yanamfanya asifuraie mapenzi, maybe kuna kitu kinamtatiza ktk maisha yake hivyo inasababisha mood kupotea, maybe..... maybe.... maybe.....

All in all mwenye majibu ni yeye msaidie.
 
ACHA UJINGA TAFUTA FEDHA
Kwa mwenye ufahamu wa kutosha na aliyelelewa kifamilia na kiima ya kidini anatambua wajibu wake na majukuma yake. Pesa inatafutwa kila siku na hata wewe hapo unaitafuta, ila kuna vitu ambavyo havitafutwi kwa kutumia hiyo pesa mf: amani, utulivu wa nafsi, furaha na upendo. Kaka haya maisha tu kwani huoni watu wanapesa lakini hawana furaha wala utulivu wa nafsi katika maisha yao. Familia ni kitu muhimu sana katika maisha na maendeleo ya mwanaadamu
 
Maybe hammatch,maybe bado ana majeraha ambayo yanamfanya asifuraie mapenzi, maybe kuna kitu kinamtatiza ktk maisha yake hivyo inasababisha mood kupotea, maybe..... maybe.... maybe.....

All in all mwenye majibu ni yeye msaidie.
All in all bado anaonekana hajui antaka nini katika maisha, maana nishawahi kumuuliza anahitaji nini katika maisha yake kiujumla kimaisha na kimahusiano, sio mvivu wa kazi na pia sio sista duu wa kuchagua vyakula na wala sio mwanamke wa kupenda mitandao ya jamii, ila anapenda kunywa pombe, its like kwenye maisha yake kuna mzigo mkubwa w stress na hajui pa kuanzia kuutatua na mwenyewe huwa anasema hapendi kusema historia yake yote ya maisha maana humuumiza sana. ila kadri ntakavyokuwa nae ndio ntajua kidogo kidogo. anadai anagopa tusije kuchana halafu nikawa najua background yake yote ya maisha yake. is like kama ananisikilizia tutaishia wapi
 
Madhara ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke aliyeachwa na kuzaa na mwanaume mwenzako hayo.
 
All in all bado anaonekana hajui antaka nini katika maisha, maana nishawahi kumuuliza anahitaji nini katika maisha yake kiujumla kimaisha na kimahusiano, sio mvivu wa kazi na pia sio sista duu wa kuchagua vyakula na wala sio mwanamke wa kupenda mitandao ya jamii, ila anapenda kunywa pombe, its like kwenye maisha yake kuna mzigo mkubwa w stress na hajui pa kuanzia kuutatua na mwenyewe huwa anasema hapendi kusema historia yake yote ya maisha maana humuumiza sana. ila kadri ntakavyokuwa nae ndio ntajua kidogo kidogo. anadai anagopa tusije kuchana halafu nikawa najua background yake yote ya maisha yake. is like kama ananisikilizia tutaishia wapi
Kama umeligundua hilo msaidie ajitambue, there thoz who needs a little push, unaweza ukaamua kumuacha kumbe ukamuongezea burden nyingine zaidi, you can change her just play yo part.
 
Kama umeligundua hilo msaidie ajitambue, there thoz who needs a little push, unaweza ukaamua kumuacha kumbe ukamuongezea burden nyingine zaidi, you can change her just play yo part.
Am doing the best i can. thanks for your encouragement
 
Kuna wanawake wanachezea bahat jamn kaka wa watu anania nzur kabsa yan mtu anakua mbovu kwenye swala muhim kuliko vyote kaka jaribu kuongea na wataalam wa mahusiano na psycholojia wanaweza kukushaur cha kufanya kitaalam
 
Kwa mwenye ufahamu wa kutosha na aliyelelewa kifamilia na kiima ya kidini anatambua wajibu wake na majukuma yake. Pesa inatafutwa kila siku na hata wewe hapo unaitafuta, ila kuna vitu ambavyo havitafutwi kwa kutumia hiyo pesa mf: amani, utulivu wa nafsi, furaha na upendo. Kaka haya maisha tu kwani huoni watu wanapesa lakini hawana furaha wala utulivu wa nafsi katika maisha yao. Familia ni kitu muhimu sana katika maisha na maendeleo ya mwanaadamu
Tafuta historia ya wimbo ....It is well with my soul....itakusaidia......
 
Back
Top Bottom