Mpenzi wangu hana wivu na mimi wala hayuko 'romantic' nifanyaje?

Mpenzi wangu hana wivu na mimi wala hayuko 'romantic' nifanyaje?

Jamani kama nilivyotangulia kusema hapo juu kwenye heading, naombeni Ushauri wenu kwenye Hili. Iko hivi nina mpenzi wangu ambaye tuna mda wa miezi 6+ kwenye mahusiano, japo tumekua karibu tangu 2020, ila mahusiano rasmi ni hiyo miezi 6.
Kwahiyo wewe mpaka leo ulikuwa unaamini mapenzi yanaexist?

Kwenye wimbo wa 2Pac Shakur wa all eyes on me kuna kipande anasema money bring bitch, bitch bring love.

Jifunze kuwaelewa wanawake.
 
Baada ya kusoma content, nikushauri

Kama unatafuta mwanamke wa kuuzia sura na yale mahaba ndi ndi ndi,
UYO HAKUFAI ACHANA NAE HARAKA SANA.

Ila Kama unatafuta mwanamke wa kuoa na kua mama Bora wa familia yako,
UYO ANAKUFAA 100% MUOE HARAKA SANA.

Kama ujaelewa sema nikufafanulie
Nakazia hapa sina cha kuongeza umemaliza kila kitu,achukue huu ushauri atakuja kukushukuru badae.
 
Baada ya kusoma content, nikushauri

Kama unatafuta mwanamke wa kuuzia sura na yale mahaba ndi ndi ndi,
UYO HAKUFAI ACHANA NAE HARAKA SANA.

Ila Kama unatafuta mwanamke wa kuoa na kua mama Bora wa familia yako,
UYO ANAKUFAA 100% MUOE HARAKA SANA.

Kama ujaelewa sema nikufafanulie
Fafanua aise, sijakuelewa kabisa
 
Baada ya kusoma content, nikushauri

Kama unatafuta mwanamke wa kuuzia sura na yale mahaba ndi ndi ndi,
UYO HAKUFAI ACHANA NAE HARAKA SANA.

Ila Kama unatafuta mwanamke wa kuoa na kua mama Bora wa familia yako,
UYO ANAKUFAA 100% MUOE HARAKA SANA.

Kama ujaelewa sema nikufafanulie
watu watarukaruka hapa na coments zao lkn ukweli halisi ndo huo

wife material wengi hawanaga mbwembwe

aanze kukutafta asbh, mchan na jioni ili iweje?

kutwa akuimbie nakupenda ili iweje??

upendo unakaa moyoni na siyo mdomoni..

hakufatilii uko wapi , unafanya nini kwa kuwa anakuamini.
we kama umempenda muoe, hayo mengine yatajiset yenyewe
 
watu watarukaruka hapa na coments zao lkn ukweli halisi ndo huo

wife material wengi hawanaga mbwembwe

aanze kukutafta asbh, mchan na jioni ili iweje?

kutwa akuimbie nakupenda ili iweje??

upendo unakaa moyoni na siyo mdomoni..

hakufatilii uko wapi , unafanya nini kwa kuwa anakuamini.
we kama umempenda muoe, hayo mengine yatajiset yenyewe
Daah brother ujue hadi naogopa upendo gani wa design hiyo. Cha ajabu haniombi pesa yeye anataka tuwe tu wote
 
Hata mm niko hvyo kwa mtu nisiempenda.. yaan hvyo hvyoo.. ila nakua nae tuu mtu huyo kwasabab fulan.. ila kumpenda .. noo
[emoji848][emoji125]nikikutana na mtu km wewe siwezi vumilia hata mwezi!
Siweziiii!

Labda niwe kimaslahi,but pembeni nitakua na mtu ambae ananipenda
 
mapenzi ni ungese tena ungese wenyewe unaletwa na mademu
 
Jamani kama nilivyotangulia kusema hapo juu kwenye heading, naombeni Ushauri wenu kwenye Hili. Iko hivi nina mpenzi wangu ambaye tuna mda wa miezi 6+ kwenye mahusiano, japo tumekua karibu tangu 2020, ila mahusiano rasmi ni hiyo miezi 6.

Huyu mpenzi wangu nilipanga kumuoa mwishoni mwa mwaka huu au mwakani mwanzoni. Ila amekua akinichanganya kwenye baadhi ya mambo kama
Kama wewe mwenyewe hamuelewi, unadhani wahuni wa humu ndani watamuelewa.

Tulia, umiza kichwa na utapata jibu lako.
 
Back
Top Bottom