Baba Dayana
Senior Member
- Jul 1, 2016
- 144
- 330
Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshikaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae.
Mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya Mwanaume mwenzangu uyu Mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei.
Sasa Iko hivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa Mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.
Soma Pia: Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu
Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously?🫤
Mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya Mwanaume mwenzangu uyu Mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei.
Sasa Iko hivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa Mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.
Soma Pia: Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu
Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously?🫤