Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo Ivo mkuu, tumeachana saivi Mimi naumia yeye ana enjoy na vidume wengine hukousimsaidie mwanamke akiwa na shida....shida zake zikiisha anakusahau....
huyu hakukupenda ila kwa kuwa alikuwa na shida zake akaona ajitulize kwa muda ili akikaa sawa aondoke.
Mapenzi ni ujinga mzee, sijasomea wala kuzaliwa nachoHuu ujinga ulisomea au ni kipaji umezaliwa nacho?
Shukrani sana ndugu yangu, nimepoa sasaSimping 101
Anyways, pole.
Aisee acha tu ndugu yangu kufanywa Panadol inauma sanaMkuu kwanza pole, lakini pili ujue wewe ulitumika kama panadol wakati wa maradhi inathamani sana ila yakishapita tu inakuwa dumped away uyo wewe ulimsaidia kumpa relief tu baada yakuterekezwa na mimba yake kajipata sasa soko lipo upya hata ungempa nyumba still hauna maaana ni kheri ungehesabu kama unsaidia km jiran mwema at least now angekufiria.
Mapenzi nimewaachia nyie sitaki tenaNjoo kwangu love...
Me nimechezea kibutiii huku afu sisemiii😂😂Mapenzi nimewaachia nyie sitaki tena
Huwezi kusema, mapenzi konyo mzeeMe nimechezea kibutiii huku afu sisemiii😂😂
Shida ilianzia hapaUlimkuta na mimba…
Siku nyingine epuka kuanzisha mahusiano na mtu ambaye anapitia kipindi kigumu kwenye maisha. Hiko kipindi kikipita wakijipata huwa wanaenda kwenye machaguo yao.
Nimeipenda hiiMkuu uusisahau simu
Nakukumbusha tu maana huo ni mtaji unaweza kufungua hata uwakala
Nyamwi,,nyimwa,,,nyamwila,,sasa aje kwq nani hapoNjoo kwangu love...
Yaan kama ulijua kutupa pole,maana comment ndefuuu kpnzaaaloooooh kuna jamaa apa mtaani,ivo ivo alimkuta binti kalelekezwa na mimba,
jamaa akamchukua,akamtunza vizuri kabisa,
binti akajifungua,
jamaa akasema mie nshakusaidia unaeza enda kwa wazazi wako,
binti akasema hapana, naomba tuishi eote,tulee mtoto,
aah njemba kiroho safi ikakubali,wamelea mtoto kaanza hadi shule.Baba wa mtoto aliyetelekeza mimba,akamtafuta mama wa binti,wakaongea yao,
kisha mama akamtafuta binti ake akaongea nae,kumbe wanapanga kutorosha mtoto aende kwa baba ake.Na kwel walifanikisha,baba mlezi kaishia kuumia,na binti akaanza kiburi,
kufupisha tukamshauri tu amrudshe kwao coz atamuua,,ingawa alianza kuomba msamaha kinafiki,tukamwambia mzee kaza apo, binti alitoka ingawa hakwenda kwao.
Poleni kwa gazeti,,haya mambo yapo wakuu😊😊
Kwahiyo wewe ni jirani yake mleta uzi... hongereni naona majirani mmekutana jeiefuaaaloooooh kuna jamaa apa mtaani,ivo ivo alimkuta binti kalelekezwa na mimba,
jamaa akamchukua,akamtunza vizuri kabisa,
binti akajifungua,
jamaa akasema mie nshakusaidia unaeza enda kwa wazazi wako,
binti akasema hapana, naomba tuishi eote,tulee mtoto,
aah njemba kiroho safi ikakubali,wamelea mtoto kaanza hadi shule.Baba wa mtoto aliyetelekeza mimba,akamtafuta mama wa binti,wakaongea yao,
kisha mama akamtafuta binti ake akaongea nae,kumbe wanapanga kutorosha mtoto aende kwa baba ake.Na kwel walifanikisha,baba mlezi kaishia kuumia,na binti akaanza kiburi,
kufupisha tukamshauri tu amrudshe kwao coz atamuua,,ingawa alianza kuomba msamaha kinafiki,tukamwambia mzee kaza apo, binti alitoka ingawa hakwenda kwao.
Poleni kwa gazeti,,haya mambo yapo wakuu😊😊
Najua,wa tz wengi hatupendi izo mambo bwan,,mi mwenyewe hua sipendi kusoma magazetiYaan kama ulijua kutupa pole,maana comment ndefuuu kpnz
Akili ku mkichwa mzee baba,,mleta uzi simfaham ila story zinaendana,,,,are we kriaaa?Kwahiyo wewe ni jirani yake mleta uzi... hongereni naona majirani mmekutana jeiefu
Ila magazeti ndio yana elimu kubwa,basi uvivu umetujaa,ila mtu huyo huyo akikuta mada anazopenda wala halalamikiNajua,wa tz wengi hatupendi izo mambo bwan,,mi mwenyewe hua sipendi kusoma magazeti
aaaah mi bwan ikishakua ndefu, hatakama nzur vip,ntasoma huku naruka vipengeleIla magazeti ndio yana elimu kubwa,basi uvivu umetujaa,ila mtu huyo huyo akikuta mada anazopenda wala halalamiki