Baba Dayana
Senior Member
- Jul 1, 2016
- 144
- 330
- Thread starter
- #81
Ndo Nisha achana naeone man down.... anakuona lunya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo Nisha achana naeone man down.... anakuona lunya tu
Mkuu wewe unatumiaga hisia au akili kwenye mapenziMapenzi ndugu yangu, ujinga mtupu na ufala ☹️
🤣🤣🤣🤣 uko wapi kwani?Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshkaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae.
Mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya mwanaume mwenzangu uyu mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei.
Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.
Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously??🫤
Akili natumia kidogo sana mara nyingi ni hisia nahisi ndo maana mapenzi yalinishika sanaMkuu wewe unatumiaga hisia au akili kwenye mapenzi
😀😀😀🤣🤣🤣🤣 uko wapi kwani?
Nina wasiwasi, biblia imesema tuishi nao kwa akili means wao ndo wenye akili kutuzidi ndo maana tukaonywa mapemaUkimuondoa Nyumbu,Mwanamke ndiye mwanamke anayeongoza Kwa kutokuwa na Akili duniani!
Upigwe makofi kokote ulipo 🤬Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshkaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae.
Mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya mwanaume mwenzangu uyu mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei.
Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.
Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously??🫤
Wewe, huyo cha wote na mume mwenzio, mnapatikana wapi?😀😀😀
Niko wapi unamaanisha nini?
Unafelisha sana wanaume.Akili natumia kidogo sana mara nyingi ni hisia nahisi ndo maana mapenzi yalinishika sana
Wew c kesh kutwa unaenda olewa ?, unaona sasa nyinyi watu, nyinyi ni mafia sana ,nawakubali.Njoo kwangu love...
Ndoa ilishapita kitambo sweetheart.. Toka tarehe 13 WA Saba...Wew c kesh kutwa unaenda olewa ?, unaona sasa nyinyi watu, nyinyi ni mafia sana ,nawakubali.
Hongera sana madam, ila huyo aje kwako kufanyaje?Ndoa ilishapita kitambo sweetheart.. Toka tarehe 13 WA Saba...
Hongera sana madam, ila huyo aje kwako kufanyaje?