Mpenzi wangu kabadilika kwa sasa hata mawasiliano ni magumu kati yetu

Mpenzi wangu kabadilika kwa sasa hata mawasiliano ni magumu kati yetu

Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshkaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae, mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya mwanaume mwenzangu uyu mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei. Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.

Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously??🫤
Mwanamke haurumiwi dogo Ras kila siku tunawachana fact mnahisi tunaongea utamu.
 
Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshkaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae, mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya mwanaume mwenzangu uyu mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei. Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.

Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously??🫤
Tambua thamani yako master
 
Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshkaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae, mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya mwanaume mwenzangu uyu mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei. Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.

Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously??🫤
Mkuu kwanza pole, lakini pili ujue wewe ulitumika kama panadol wakati wa maradhi inathamani sana ila yakishapita tu inakuwa dumped away uyo wewe ulimsaidia kumpa relief tu baada yakuterekezwa na mimba yake kajipata sasa soko lipo upya hata ungempa nyumba still hauna maaana ni kheri ungehesabu kama unsaidia km jiran mwema at least now angekufiria.
 
usimsaidie mwanamke akiwa na shida....shida zake zikiisha anakusahau....

huyu hakukupenda ila kwa kuwa alikuwa na shida zake akaona ajitulize kwa muda ili akikaa sawa aondoke.
 
Back
Top Bottom