Hustler one
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 469
- 1,273
Sio unatuachia sie😁, ukimalizana na likizo yako ya maumivu! , utarudi tu chamani TUTESEKE WOTE TENA🤣🤣🙌🏻Acha tu, Mimi naona yamenishinda acha niwaachie nyie tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio unatuachia sie😁, ukimalizana na likizo yako ya maumivu! , utarudi tu chamani TUTESEKE WOTE TENA🤣🤣🙌🏻Acha tu, Mimi naona yamenishinda acha niwaachie nyie tu
Kivipi? Ni mzunguko tu wa maisha wengine wanaoa wanawake walio achika kwenye ndoa zaoYou are too idle.
Uko sirudi tena nishaondoka sitaki tenaSio unatuachia sie😁, ukimalizana na likizo yako ya maumivu! , utarudi tu chamani TUTESEKE WOTE TENA🤣🤣🙌🏻
Sio kwamba nitafanya mambo yawe mengi? Mimi naona nimwachie tuMkuu uusisahau simu
Nakukumbusha tu maana huo ni mtaji unaweza kufungua hata uwakala
Mwanamke haurumiwi dogo Ras kila siku tunawachana fact mnahisi tunaongea utamu.Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshkaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae, mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya mwanaume mwenzangu uyu mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei. Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.
Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously??🫤
Mkuu we semaa, sisi kama wajumbe tunakuelewa unachopitia!! ILA NIKUHAKIKISHIE UTARUDI NA VIBOKO VIKO PALEPALE KWA WATOTO HAWA WA FARAO!😁🤣🤣, hawana huruma watandika vya utosi tu KUDADEKI🤣🙌🏻Uko sirudi tena nishaondoka sitaki tena
Saivi nitakuwa nawazingatia mnayosemaMwanamke haurumiwi dogo Ras kila siku tunawachana fact mnahisi tunaongea utamu.
Usichukulie mapenzi siriazi sana ni jambo la mpito na usirudie kosa la kuanza mechi huku tayari ubao unasoma 1 - 0Noma mzee
Sirudi uko tena Mimi mapenzi nimewaachia nyie siyawezi kabisaMkuu we semaa, sisi kama wajumbe tunakuelewa unachopitia!! ILA NIKUHAKIKISHIE UTARUDI NA VIBOKO VIKO PALEPALE KWA WATOTO HAWA WA FARAO!😁🤣🤣, hawana huruma watandika vya utosi tu KUDADEKI🤣🙌🏻
Kweli kabisa, japo nilijua matokeo yanaweza badilikaUsichukulie mapenzi siriazi sana ni jambo la mpito na usirudie kosa la kuanza mechi huku tayari ubao unasoma 1 - 0
Haya🤓Sirudi uko tena Mimi mapenzi nimewaachia nyie siyawezi kabisa
Duh! Mkuu kumbe sababu ilikua ni uchi na sio kujenga familia!Siku hizi hata ukiwa huna mke kupata uchi sio kazi ngumu tulioa sisi zamani kwa ajili ya uhakika wa kula uchi
Tambua thamani yako masterSasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshkaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae, mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya mwanaume mwenzangu uyu mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei. Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.
Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously??🫤
Nitazingatia Hili masterTambua thamani yako master
Mkuu kwanza pole, lakini pili ujue wewe ulitumika kama panadol wakati wa maradhi inathamani sana ila yakishapita tu inakuwa dumped away uyo wewe ulimsaidia kumpa relief tu baada yakuterekezwa na mimba yake kajipata sasa soko lipo upya hata ungempa nyumba still hauna maaana ni kheri ungehesabu kama unsaidia km jiran mwema at least now angekufiria.Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshkaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae, mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya mwanaume mwenzangu uyu mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei. Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.
Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously??🫤
Tatizo magonjwa nayo yamekuwa mengi sanaSiku hizi hata ukiwa huna mke kupata uchi sio kazi ngumu tulioa sisi zamani kwa ajili ya uhakika wa kula uchi