Baba Dayana
Senior Member
- Jul 1, 2016
- 144
- 330
- Thread starter
- #121
10k ni Salio mkuu usichanganye mamboWiki ulikuwa unampa Tsh ngapi kama mwezi unampa elfu 10.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
10k ni Salio mkuu usichanganye mamboWiki ulikuwa unampa Tsh ngapi kama mwezi unampa elfu 10.
Soma vizuri nilichoandika, usikurupuke10k ni Salio mkuu usichanganye mambo
Naona hatuelewani, endelea na mambo mengine tuSoma vizuri nilichoandika, usikurupuke
Ndiyo maisha mkuu usiumie sana things happen.Aisee acha tu ndugu yangu kufanywa Panadol inauma sana
Pole yake sana...
Tusichoke kuwaelimisha vijana wenzetu japokua majitu mafala hayawezi kuisha kabisaWewe ni litaahira, unaleaje bao la mwanaume mwenzio? Kakuacha kwasababu ameona kabisa huna akili, unajishobozaje na mke wa mtu? Hebu Natafuta Ajira njoo ulione hili bwabwa.
Wananume wenye "moyo wa Mawingu" kama wewe ni wachache sana kama ulidhamiria kuacha wanawake wote milioni 40 waliopo nchini na kuchagua mwenye mimba ya mwananume mwingine basi una kitu.......Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshikaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae.
Mbaya zaidi ni kwamba licha ya kuchukua majukumu ya Mwanaume mwenzangu uyu Mtoto wa kike nilimpenda sana imagine simu nilimnunulia ila akaishia kuniblock, vocha namuwekea ila sms hajibu mbaya zaidi napiga simu hapokei.
Sasa Iko hivi Mimi na mapenzi basi maana nishampa Mtoto jina na kachukua jina langu japo yeye kapata washauri wengine anitie Hasara.
Soma Pia: Mke wangu kawa chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ya jirani yangu
Nakununulia simu kinachofuata nikuniblock, vocha nakuwekea simu hunipigii mpaka Mimi nipige, sms hujibu najiongelesha mwenyewe like seriously?🫤
Mapenzi upofu ndugu yanguWananume wenye "moyo wa Mawingu" kama wewe ni wachache sana kama ulidhamiria kuacha wanawake wote milioni 40 waliopo nchini na kuchagua mwenye mimba ya mwananume mwingine basi una kitu.......
Hilo tukio ulilopigwa likawe fundisho kwa wanaume wote wenye miyo kama yako
Sijawachukia wanawake ndugu, nimeyachukia mapenzi siyataki tena😂😂 Katika maisha yangu mtu mmoja hawezi kunifanya nichukie jinsia nzima ya Ke... Never
Mapenzi ni sanaa kama mziki n.k kwamba you can date with any woman/girl na asikuchoke. Ukiona unatemwa na kila mwanamke kajifunze sanaa ya mapenzi kwanza ndio urudi. I mean shida sio jinsia ya Ke ni wew... Trust me
Tuwape muda watafika kizisomaNatamani sana thread zangu zingekua zinasomwa na kila mwanaume hapa jf.
Dooh!! Sawa nduguTusichoke kuwaelimisha vijana wenzetu japokua majitu mafala hayawezi kuisha kabisa
Huo sio upofu ni ujinga na upumbavuMapenzi upofu ndugu yangu
Kichwa kinapita cha mtoto, itakuwa hicho kidudu chako? Kinaongeza nini? Shahawa ndo zinakazi kipindi cha karibia na kujifungua.Kuifungua njia mtoto aweze kupita mkuu
Ukichaa kabisa.Mapenzi yalinifanya kuwa kipofu
OkTusichoke kuwaelimisha vijana wenzetu japokua majitu mafala hayawezi kuisha kabisa
Usikute wazazi wako hata kitochi hawana..Laanakum, bladimakudubela we.Nilikuwa natoa tu hela ata sihesabu, ila simu ilikuwa sumsang A02 core vocha nilikuwa namuwekea 10k/ month