Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Kama umemwoa ndo unaruhusiwa kumpiga? Asante kwa kunifungua macho. Nilikuwa sijui!Unampiga kwani umemuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umemwoa ndo unaruhusiwa kumpiga? Asante kwa kunifungua macho. Nilikuwa sijui!Unampiga kwani umemuoa
Wakuu kwema?
Jana mpenzi wangu alikuja gheto nikamuomba anisaidie kufanya usafi wa nyumba akakataa,nikamchapa kofi moja.leo kanitumia text eti mie na yeye ndio basi na wkt me nilikua namdispline tu.ni haki kweli kutumbuliwa huku bado nampenda?
Huyu mshikaji naona anatania you cant be seriou you man!Una mpiga mtoto wa watu eti kisa Usafi.....!??
Huyu mwanaume mwenzetu katuangusha kwa hili, bora atumbuliwe tu.Bado hujaiva kua mume. Subiri kwanza
Unaonyesha unatabia mbaya sana wewe,ivi unampiga mwanamke huna Aibu? si mkeo wala sio hujamtolea mahari unampiga kwa style gani? na am sure utakua umemuomba kibabe ungemuomba kimahaba na kauli nzuri angefanyaWakuu kwema?
Jana mpenzi wangu alikuja gheto nikamuomba anisaidie kufanya usafi wa nyumba akakataa,nikamchapa kofi moja.leo kanitumia text eti mie na yeye ndio basi na wkt me nilikua namdispline tu.ni haki kweli kutumbuliwa huku bado nampenda?
Ngoja nitafute kuni ili aendelee kupikwa ili aive vizuri.....[emoji12]Bado hujaiva kua mume. Subiri kwanza
Tena ambayo haina sukariChai
Wewe ni Mkurya, Mjaluo au Mjita wa Tarime au Rorya?Wakuu kwema?
Jana mpenzi wangu alikuja gheto nikamuomba anisaidie kufanya usafi wa nyumba akakataa,nikamchapa kofi moja.
Leo kanitumia text eti mie na yeye ndio basi na wakati mimi nilikuwa namdispline tu ni haki kweli kutumbuliwa huku bado nampenda?
Umeniwahi Mpwa, asante sana, kwanini vijana wa siku hizi wanapenda kuwachezea Wadada wa wenzao kiasi hicho? Huu ni ujingaSasa unampigaje kofi mwanamke hujamuoa na wala hujamtolea mahari? Je angezima pale chini ungeiambia nini mahakama?
Acheni ujinga vijana. Mwanamke ambaye hujamtolea mahari wala hujamuoa huruhusiwi kumpiga wala kumpa amri yoyote. Yeye atafanya kwa kupenda yeye na sio shuruti. Eboooooo
Kwan ukimuoa ndo kanisan au msikitin wanasema wapigwe?!au walazmishweSasa unampigaje kofi mwanamke hujamuoa na wala hujamtolea mahari? Je angezima pale chini ungeiambia nini mahakama?
Acheni ujinga vijana. Mwanamke ambaye hujamtolea mahari wala hujamuoa huruhusiwi kumpiga wala kumpa amri yoyote. Yeye atafanya kwa kupenda yeye na sio shuruti. Eboooooo
Hakikisha kuni kavu my wiiNgoja nitafute kuni ili aendelee kupikwa ili aive vizuri.....[emoji12]
Hivi kaka yangu yupo?nimemmiss balaaaaHakikisha kuni kavu my wii