Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
- Thread starter
-
- #41
Hapana mkuu, nimeumia sana! Sema najaribu kujifariji tu ili moyo usitanukeMuongo wewe. Lugha tu uliyotumia inaonesha kabisa umetunga na wala unachosimulia hakijakuumiza!!
Atafute hela kwani alizipoteza...!?Pole sana tafuta hela
duuhHuku mtaani ninapoishi, mke wa mtu ni sumu ya kuulia mavempaya mkuu! Bora kukimbizana na hawa mabinti wa mama Samia tu[emoji26]
[emoji15][emoji15]Maake hapo kwanza ncheke [emoji23][emoji23]Atafute hela kwani alizipoteza...!?
AiseeTurubai na viti ntatoa bure
Karibuni msibani[emoji41]
Dah! Itabidi nifanyie kazi huu ushauriUkipata demu piga shoo pata raha sana na siku ukimpoteza usiumie piga shoo kama hutapiga tena.
Awe anadate na wanawake standard sio wa kuliwa kwa 5kAtafute hela kwani alizipoteza...!?
Mi naitumia sana hii ndio maisha yanguDah! Itabidi nifanyie kazi huu ushauri
Na akizipata asiwe na mwanamke MMOJA... Na wala asimp3nde hata mmoja wao.... Awe kama diamond chapa beba mwanao leaPole sana tafuta hela
Bado mkuu, hali imekuwa dhoflihali, labda nayo inaweza kuwa sababu[emoji24][emoji24] DahKwani mwanangu ushapona? Si ulisema juzi kati hapa una matatizo ya kutosimamisha?
Bado sana mkuu, hali i dhoflihal, labda na hii inaweza kuwa sababuKwani mwanangu ushapona? Si ulisema juzi kati hapa una matatizo ya kutosimamisha?