Itakuwa ni double impactHapo anaweza akakata moto kabisa akija kushtuka alafu akashtukia kileleni si anaweza akapata kifafa [emoji23][emoji23]
Kile kipimo cha mchinaMtishie chanjo ya corona uone atakavyo toka nduki
Hili linabidi nilifanyie kazi mkuu [emoji91][emoji91] wanatuchezea akili hawa au na sisi tuwe tunazimia nn [emoji848][emoji848]Achukue chilisosi tu apake kidogo kwenye clitoris kisha aende zake nje kunywa soda baada ya dk chache ataitwa ndani kumalizia shughuli
Wanao zimia huwa naona wanashikwa maeneo yenye miisho ya hisia kama chuchu kwenye nyayo za miguu kwenye diaphragm n.k mtu anainuka yeye mwenyewe
Yes,sometimes ni default amid the gameDuuh kwel wataalam mpo duniani kwel...hii naona njia sahihi
Aiseeeh usiseme ktu hakipo sema ujakutana nacho....[emoji3061][emoji3061]Yes,sometimes ni default amid the game
Hukumbuki kule Kenya yule Dada anasema nilizoea kukutana na wale wakimoja analala usiku mzima
Alikutana na nyapala(polisi askali magereza)bao kumi hajashuka..
Alijikuta anashitaki kituo cha polisi polisi wanashangaa tunafunguaje kesi mana ni
Mpyaaaa
kapimeni afya zote msipime ukimwi tu...echo mnamwachia nani ,anapandisha mzuka hadi nusukuzima ,pimeni kilakitu hapa tunapeana mawazo tuAiseeeh usiseme ktu hakipo sema ujakutana nacho....[emoji3061][emoji3061]
Hii ilinitokea sitokaa nsahau. Kidogo nchanganyikiweHii ilishawahi kumtokea rafiki angu kamwita demu wake geto alafu kakuta sms za demu kibao kwenye simu ya mshikaji wake wacha azimie
Sasa hii imetokea kwangu juzi kuna kademu kalikuja geto sasa nilikuwa nimezidiwa kweli ndo maana nilikaita sasa baada ya show
Nimeenda kuoga kurudi kanaanza kuniuliza hizi nguo za kike za nani
Mimi nikamwambia sasa mimi naweza kuvaa nguo za kike unaona !!! Duuuh palepale kakazimia
Sasa hili mm najiuliza ni desturi ya hawa mademu kuzimia au shida ni ip?View attachment 1883765