Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazi 100 au 20pHii ilishawahi kumtokea rafiki angu kamwita demu wake geto alafu kakuta sms za demu kibao kwenye simu ya mshikaji wake wacha azimie
Sasa hii imetokea kwangu juzi kuna kademu kalikuja geto sasa nilikuwa nimezidiwa kweli ndo maana nilikaita sasa baada ya show
Nimeenda kuoga kurudi kanaanza kuniuliza hizi nguo za kike za nani
Mimi nikamwambia sasa mimi naweza kuvaa nguo za kike unaona !!! Duuuh palepale kakazimia
Sasa hili mm najiuliza ni desturi ya hawa mademu kuzimia au shida ni ip?
Mpalangue [emoji23][emoji23][emoji23] jokeHii ilishawahi kumtokea rafiki angu kamwita demu wake geto alafu kakuta sms za demu kibao kwenye simu ya mshikaji wake wacha azimie
Sasa hii imetokea kwangu juzi kuna kademu kalikuja geto sasa nilikuwa nimezidiwa kweli ndo maana nilikaita sasa baada ya show
Nimeenda kuoga kurudi kanaanza kuniuliza hizi nguo za kike za nani
Mimi nikamwambia sasa mimi naweza kuvaa nguo za kike unaona !!! Duuuh palepale kakazimia
Sasa hili mm najiuliza ni desturi ya hawa mademu kuzimia au shida ni ip?
Hahaha watu wa Jf sijui mnawaza niniMtishie chanjo ya corona uone atakavyo toka nduki
Mle dazban atazinduka harakaHii ilishawahi kumtokea rafiki angu kamwita demu wake geto alafu kakuta sms za demu kibao kwenye simu ya mshikaji wake wacha azimie
Sasa hii imetokea kwangu juzi kuna kademu kalikuja geto sasa nilikuwa nimezidiwa kweli ndo maana nilikaita sasa baada ya show
Nimeenda kuoga kurudi kanaanza kuniuliza hizi nguo za kike za nani
Mimi nikamwambia sasa mimi naweza kuvaa nguo za kike unaona !!! Duuuh palepale kakazimia
Sasa hili mm najiuliza ni desturi ya hawa mademu kuzimia au shida ni ip?
Duhhh kwa iyo ulimuombea mapepo yatoke ?Bora wewe kazimia, Mimi alipanfiaha mashetani akiwa getto...dohh jasho lilinitoka
[emoji1322][emoji1322][emoji1322] utani angalia asije fia getoUtaua bure [emoji23][emoji23]
HahahaaaaMtishie chanjo ya corona uone atakavyo toka nduki
😂 😂 😂Watu sikuhz wamevurugwa