Mpenzi wangu kazimia gheto nifanyeje?

Mpenzi wangu kazimia gheto nifanyeje?

kapimeni afya zote msipime ukimwi tu...echo mnamwachia nani ,anapandisha mzuka hadi nusukuzima ,pimeni kilakitu hapa tunapeana mawazo tu

likikukuta tu tutakutana polisi au mahakani kukusaidia kwamba hukukusudia
Kwel kabisa
 
Acha kuleta malaya getoni kwako utakuja kufungwa bure kisa zinaa
Duuh hata malaya cjawah kuleta geto ...malaya ana muda na simu yako basi yeye mpe chake tuuh
 
Hii ilishawahi kumtokea rafiki angu kamwita demu wake geto alafu kakuta sms za demu kibao kwenye simu ya mshikaji wake wacha azimie

Sasa hii imetokea kwangu juzi kuna kademu kalikuja geto sasa nilikuwa nimezidiwa kweli ndo maana nilikaita sasa baada ya show
Nimeenda kuoga kurudi kanaanza kuniuliza hizi nguo za kike za nani
Mimi nikamwambia sasa mimi naweza kuvaa nguo za kike unaona !!! Duuuh palepale kakazimia

Sasa hili mm najiuliza ni desturi ya hawa mademu kuzimia au shida ni ip?

Nazi 100 au 20p
 
Hii ilishawahi kumtokea rafiki angu kamwita demu wake geto alafu kakuta sms za demu kibao kwenye simu ya mshikaji wake wacha azimie

Sasa hii imetokea kwangu juzi kuna kademu kalikuja geto sasa nilikuwa nimezidiwa kweli ndo maana nilikaita sasa baada ya show
Nimeenda kuoga kurudi kanaanza kuniuliza hizi nguo za kike za nani
Mimi nikamwambia sasa mimi naweza kuvaa nguo za kike unaona !!! Duuuh palepale kakazimia

Sasa hili mm najiuliza ni desturi ya hawa mademu kuzimia au shida ni ip?

Mpalangue [emoji23][emoji23][emoji23] joke
 
Hii ilishawahi kumtokea rafiki angu kamwita demu wake geto alafu kakuta sms za demu kibao kwenye simu ya mshikaji wake wacha azimie

Sasa hii imetokea kwangu juzi kuna kademu kalikuja geto sasa nilikuwa nimezidiwa kweli ndo maana nilikaita sasa baada ya show
Nimeenda kuoga kurudi kanaanza kuniuliza hizi nguo za kike za nani
Mimi nikamwambia sasa mimi naweza kuvaa nguo za kike unaona !!! Duuuh palepale kakazimia

Sasa hili mm najiuliza ni desturi ya hawa mademu kuzimia au shida ni ip?

Mle dazban atazinduka haraka
 
Kama demu huna mpango naye sana huna haja ya kumleta getto. Unaweza kuja kuchoma getto lako take care. Demu wa kuchapa tu malizana naye lodge hatakusumbuaa. Lakini getto anaweza kuja hata kulilia mlangoni umemuonea Polisi wakakuchukua take care
 
Wenda hizo nguo anazifaham nizanani na anafaham matatizo ya huyo mtu ndio maana kazimia
 
Back
Top Bottom