Mpenzi wangu kazimia gheto nifanyeje?

kapimeni afya zote msipime ukimwi tu...echo mnamwachia nani ,anapandisha mzuka hadi nusukuzima ,pimeni kilakitu hapa tunapeana mawazo tu

likikukuta tu tutakutana polisi au mahakani kukusaidia kwamba hukukusudia
Kwel kabisa
 
Acha kuleta malaya getoni kwako utakuja kufungwa bure kisa zinaa
Duuh hata malaya cjawah kuleta geto ...malaya ana muda na simu yako basi yeye mpe chake tuuh
 
Nazi 100 au 20p
 
Mpalangue [emoji23][emoji23][emoji23] joke
 
Mle dazban atazinduka haraka
 
Kama demu huna mpango naye sana huna haja ya kumleta getto. Unaweza kuja kuchoma getto lako take care. Demu wa kuchapa tu malizana naye lodge hatakusumbuaa. Lakini getto anaweza kuja hata kulilia mlangoni umemuonea Polisi wakakuchukua take care
 
Wenda hizo nguo anazifaham nizanani na anafaham matatizo ya huyo mtu ndio maana kazimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…