Ha ha haa,jamaa unavituko balaaHili linabidi nilifanyie kazi mkuu [emoji91][emoji91] wanatuchezea akili hawa au na sisi tuwe tunazimia nn [emoji848][emoji848]
Ila kwel hapa kinachotusumbua ni cost tuuh za lodge ila hii point kwelKama demu huna mpango naye sana huna haja ya kumleta getto. Unaweza kuja kuchoma getto lako take care. Demu wa kuchapa tu malizana naye lodge hatakusumbuaa. Lakini getto anaweza kuja hata kulilia mlangoni umemuonea Polisi wakakuchukua take care
Mm nimesema tu kama mfano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona unanitisha tena
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mtishie chanjo ya corona uone atakavyo toka nduki