To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Private things kuleta publicKwa nini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Private things kuleta publicKwa nini mkuu?
Maisha mafupi haya, ngoja tupeleke za kibabe tu hakuna namnaEquation X unatoa.shoo za.kibabe.na umri wako wa miaka 79
Wakiwa na mimba ndio wanakuwa hivyo?Ana Mimba
Hamna u-private hapoPrivate things kuleta public
Wewe wanawake wana siku za hatari hebu kuwa mature na weweNi wiki ya pili sasa niko naishi na mpenzi wangu mpya ndani ya nyumba moja, pika nipakue; mwanzoni kabla ya kuja aliniahidi kutoa shoo kabambe kila siku, na alipofika siku za mwanzo alikuwa akitoa shoo kabambe, mpaka kidume nikasema kimoyo moyo hapa kweli nimepata mke.
Sasa tangu juzi, amekuwa ananikwepa kwepa kwa shoo; nikienda chumbani, yeye anaenda jikoni anajifanya yuko bize na usafi, Nikimfuata kwenye sofa ananyanyuka na kwenda kujiweka bize na vitu vingine.
Muda wa kulala ukifika, atajifanya anaosha vyombo ili nipitiwe na usingizi, na kuja kulala kimya kimya saa nane za usiku. Yote ni kutokutaka kupelekewa moto.
Ghafla mida hii wakati natoka chumbani, tukakutana kolidoni, ikabidi nimkumbatie, na kumuuliza kwa nini unanikwepa kwepa? Akanijibu,'' umezidisha sana kunipelekea moto, utaniua mtoto wa watu; kama inawezekana tuwe tunapumzika angalau kila baada ya siku mbili''.
Nikabaki namtazama tu usoni, ingawa sikuweza kumjibu; na mimi kuvumilia kila baada ya siku mbili naona ni mateso sana.
Hapa nilipo bado natafakari; Je huyu ananipenda kweli?
N vizuri usijechapiwaWanasema hakuna kutegea
Usicheke kwanza, nipe ushauri kabla ya jahazi kuzamaila we jamaa, nimecheka sana 😅😅
Fafanua kidogo mkuu?Wewe wanawake wana siku za hatari hebu kuwa mature na wewe
Inabidi kupelekea moto tuN vizuri usijechapiwa
Angalia usije ukaunguza kunakoInabidi kupelekea moto tu
mpumzishe mwenzio hata siku mojamoja basiUsicheke kwanza, nipe ushauri kabla ya jahazi kuzama
Ndio hivyo, inabidi kuwa mpole tuUkiona mwanamke hana interest usijaribu kufosi
Yeye anataka siku mbili, ingawa inakuwa inaumiza upande mwingine kwa sisi tunaohitaji mara kwa mara.mpumzishe mwenzio hata siku mojamoja basi
Ushauri wako ni muhimu., [emoji28]n kazi Kwa kweli
ndo ujikaze sasa,Yeye anataka siku mbili, ingawa inakuwa inaumiza upande mwingine kwa sisi tunaohitaji mara kwa mara.