Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Nacheka kama mazuri ππππ€Mungu akupe hekima busara na uvumilivu kwa sababu mpenzi wako ni kilema. Tena ukute na wewe ni flat screen, baasi mnakuwa kilema Square
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Mungu akupe hekima busara na uvumilivu kwa sababu mpenzi wako ni kilema. Tena ukute na wewe ni flat screen, baasi mnakuwa kilema Square
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Ok.Jamani ππ,, nacheka tu watu wa humu walivyo na makasiriko rafiki yangu πππ€£π€£π€£
Mwambie aje warefu tupoHaya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Kwani kuna tatizo ππ
Kwa hio asubirie kidogo at least miezi 6 anaweza akarefuka ?Miezi mitatu anataka akamtambulishe ili iwe nini
Atulie angalau mwaka asijitie nuksi unamtambulisha mtu anakuacha miezi 3 mapema kutambulishana au ana hakika watavuka mwaka[emoji1787]
Ndiyo tatizo lipoKwani kuna tatizo [emoji2][emoji2]
Niambie tatizo gani hilo tulitatueππ€
Siyo mimi na wewe ila kwa mwenye mchumba pilipili kichaa kuna tatizoNiambie tatizo gani hilo tulitatue[emoji18][emoji848]