walikuyu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 934
- 1,981
Achana nae tafuta mwanaume mrefu akupe mapenzi motomoto
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaandika kama wote humu tuna umri sawa na wako pmbavBinti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje?
Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
huyo bado ujampenda wewe!mtu uliyempenda kutoka motoni huwez kuona aibu upendo unaficha aibu!!Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje?
Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Kha!kha!.Usimpime mkiwa mnatembea au mmesimama.., mpime mkiwa kwa kitanda hapo ndipo uje utuambie ni mfupi au anafiti.
Kuna watu wamefunga ndoa kwa kuonana mara moja na baada ya mwezi ndoaMiezi mitatu anataka akamtambulishe ili iwe nini
Atulie angalau mwaka asijitie nuksi unamtambulisha mtu anakuacha miezi 3 mapema kutambulishana au ana hakika watavuka mwaka[emoji1787]
Ivi wewe upo?!Wafupi tunashida sana khaa
Bata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dunia hii,so mnataka hao waoe kuku au?
Kumbe wafupi NI vilema?! SIKUJUA aseeMungu akupe hekima busara na uvumilivu kwa sababu mpenzi wako ni kilema. Tena ukute na wewe ni flat screen, baasi mnakuwa kilema Square
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Wewe uko na urefu kimo gani nae urefu wake kwa makisio nikama kimo gani maana asiwe katoka KongoBinti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje?
Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Nipo best,mamboIvi wewe upo?!
😀😀😀😀 Sio kilema proMaxMungu akupe hekima busara na uvumilivu kwa sababu mpenzi wako ni kilema. Tena ukute na wewe ni flat screen, baasi mnakuwa kilema Square
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Mungu akupe hekima busara na uvumilivu kwa sababu mpenzi wako ni kilema. Tena ukute na wewe ni flat screen, baasi mnakuwa kilema Square
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app