Hii kitu wengi sana tunapitia[emoji3][emoji3][emoji3]Wanawake wavivu wengi wanakuwaga na mashine tamu sana yani hadi maamuzi magumu yanakuwa kipengele bora kaja kujifariji huku kwa wazalendo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kuna uhusiano gani hapo maana kama kuna ukweli hivi. Kuna wanawake wenzangu nawajua ni wavivuu mpaka wanaelekea kwenye uchafu ila mahusiano yao/ ndoa zao ni imara wanapendwa haswaa .Wanawake wavivu wengi wanakuwaga na mashine tamu sana yani hadi maamuzi magumu yanakuwa kipengele bora kaja kujifariji huku kwa wazalendo 😂😂😂
Dah mi hata sielewi Mungu alikusudia nini. Ila kimsingi wanawake wavivu kwa mapenzi wako njema sana coz ndo section ambayo wana nguvu sana na wanaimudu. Mwanamke mvivu 24/7 yupo ready kuliwa mzigo yani huulizi mara 2 we ni kutegwa tu unapewa hadi ubongo unaparalaizi😀Hivi kuna uhusiano gani hapo maana kama kuna ukweli hivi. Kuna wanawake wenzangu nawajua ni wavivuu mpaka wanaelekea kwenye uchafu ila mahusiano yao/ ndoa zao ni imara wanapendwa haswaa .
Baba acha tu
Kuicha mbususu tamu ni mtihani kwakweliHivi kuna uhusiano gani hapo maana kama kuna ukweli hivi. Kuna wanawake wenzangu nawajua ni wavivuu mpaka wanaelekea kwenye uchafu ila mahusiano yao/ ndoa zao ni imara wanapendwa haswaa .
Faida yake atapata na bonus ya mbunye.😄😄Tafuta house girl
Wanaume mna mambo mengi sana!Habarini
Nipo kwenye mahausiano na mdada ila ni mvivu sana analala sanaa na akija kwangu hata kama akikuta mazingira sio rafiki wala hajishugulishi kusafisha kupika mpaka umwambie tangu tumejuana kapika kama mara 3 hv ndani ya miezi mi 5, kufua ndio hajawahi.
Na nilikua nimepanga mwakani tuanze process za kuoana, napata wasiwasi sana kuhusu yeye, kuna mtu ashapitia kitu kama hiki kweli
Ila mchezo si anakupa?
Ama hata mchezoni ni mvivu?
Mhhh hivi kijana kodi si unalipa ww, Ww si ndo umechafua humo ndani, ww si ndo umevuruga humo ndaniHabarini
Nipo kwenye mahausiano na mdada ila ni mvivu sana analala sanaa na akija kwangu hata kama akikuta mazingira sio rafiki wala hajishugulishi kusafisha kupika mpaka umwambie tangu tumejuana kapika kama mara 3 hv ndani ya miezi mi 5, kufua ndio hajawahi.
Na nilikua nimepanga mwakani tuanze process za kuoana, napata wasiwasi sana kuhusu yeye, kuna mtu ashapitia kitu kama hiki kweli
Wanaume mna mambo mengi sana!
Wewe ukipata mwanamke mcha Mungu, sii mchawi wala mshirikina; tabia nyingine zinarekebishika.
Mnahangaika na tabia zisizo na athari kubwa ndio maana mnarogwa.
Kama hiyo, mbona ya kawaida tu. Wakati mwingine ni makuzi au uchovu tu!
Mhhh hivi kijana kodi si unalipa ww, Ww si ndo umechafua humo ndani, ww si ndo umevuruga humo ndani
Binti ujamuoa ujamtolea mahali unataka aje apike, afue, akudekia hapana sio sawa kabisa
We cha kufanya we safisha tu mwenyewe basi ukiona akufai tafuta tu mwingine
Bora ameonesha mapungufu yake mapema hafai kuwa mke.sio mwanafunzi ni mdada ana kazi yake nzuri tu