Mpenzi wangu ni mvivu sana

Kama ana kazi zake na unampenda endelea nae huenda ikawa anachoka na majukumu yake ya kila siku, angekuwa ni jobless ningekushauri upige chini bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wavivu wengi wanakuwaga na mashine tamu sana yani hadi maamuzi magumu yanakuwa kipengele bora kaja kujifariji huku kwa wazalendo 😂😂😂
Hivi kuna uhusiano gani hapo maana kama kuna ukweli hivi. Kuna wanawake wenzangu nawajua ni wavivuu mpaka wanaelekea kwenye uchafu ila mahusiano yao/ ndoa zao ni imara wanapendwa haswaa .
 
Hivi kuna uhusiano gani hapo maana kama kuna ukweli hivi. Kuna wanawake wenzangu nawajua ni wavivuu mpaka wanaelekea kwenye uchafu ila mahusiano yao/ ndoa zao ni imara wanapendwa haswaa .
Dah mi hata sielewi Mungu alikusudia nini. Ila kimsingi wanawake wavivu kwa mapenzi wako njema sana coz ndo section ambayo wana nguvu sana na wanaimudu. Mwanamke mvivu 24/7 yupo ready kuliwa mzigo yani huulizi mara 2 we ni kutegwa tu unapewa hadi ubongo unaparalaizi😀
 
Hivi kuna uhusiano gani hapo maana kama kuna ukweli hivi. Kuna wanawake wenzangu nawajua ni wavivuu mpaka wanaelekea kwenye uchafu ila mahusiano yao/ ndoa zao ni imara wanapendwa haswaa .
Kuicha mbususu tamu ni mtihani kwakweli
 
Wanaume mna mambo mengi sana!
Wewe ukipata mwanamke mcha Mungu, sii mchawi wala mshirikina; tabia nyingine zinarekebishika.

Mnahangaika na tabia zisizo na athari kubwa ndio maana mnarogwa.
Kama hiyo, mbona ya kawaida tu. Wakati mwingine ni makuzi au uchovu tu!
 
Mara nyingi ukikuta mwanamke mvivu na mchafu basi anakuwa mchafu kila kitu,najua mengine huwezi kusema...
 
Ngono ni ziada sana kwenye ndoa. Hapo jamaa hana mwanamke kbsa na akimuoa basi atapata tabu sana.
Nilikuwa na wa hivyo nikapiga chini mapema. Demu yeye ni kuangalia muvi na kusikiliza muziki tu hata kufanya usafi hapana.
Ila mchezo si anakupa?

Ama hata mchezoni ni mvivu?
 
Mhhh hivi kijana kodi si unalipa ww, Ww si ndo umechafua humo ndani, ww si ndo umevuruga humo ndani
Binti ujamuoa ujamtolea mahali unataka aje apike, afue, akudekia hapana sio sawa kabisa
We cha kufanya we safisha tu mwenyewe basi ukiona akufai tafuta tu mwingine
 
Kuoa mwanamke mvivu ni kipaji. Niliyaona kwa jamaa yangu alioa mwanamke mchafu. Ni hatari sana
Kinachotakiwa cha kwanza kwa mwanamke Usafi. Kuwa na mwanamke msafi kuna faida nyingi sana
 
Tuna wanawake wa kula mbususu na wa kuwaoa. Ukiona mwanamke anakuja kwako hata kufagia, kuosha vyombo au kukufulia nguo hataki. Yeye ni kulala tu, kuangalia muvi na kusikiliza muziki. Unaweka kundi la kula mbususu maana atakuja kukusumbua sana.
Ila ukiona mwanamke anafanya usafi huyo ni wa kuoa maana anafaa
 
'Kwisha habari yakoo....:

Nilisikia Ngosha fulani akimwambia mwenzako mwenye kesi Kama yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…