We jidanganye....mwanamke yoyote yule ana sifa za kuolewa..... BINADAMU awez kukosa vyote na kupata vyote..... Ye huyo kaka kama awez kumuoa basi ataolewa kwingine.... Pia unaweza kukuta huyo unaesema ni wa kumla tu mbususu yeye ndo akawa anakukula ww[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii dunia bnTuna wanawake wa kula mbususu na wa kuwaoa. Ukiona mwanamke anakuja kwako hata kufagia, kuosha vyombo au kukufulia nguo hataki. Yeye ni kulala tu, kuangalia muvi na kusikiliza muziki. Unaweka kundi la kula mbususu maana atakuja kukusumbua sana.
Ila ukiona mwanamke anafanya usafi huyo ni wa kuoa maana anafaa
Basi avumilie tu huo uvivu wake huku akiendelea kufurahia hiyo mashine tamuWanawake wavivu wengi wanakuwaga na mashine tamu sana yani hadi maamuzi magumu yanakuwa kipengele bora kaja kujifariji huku kwa wazalendo 😂😂😂
Kwa nini yeye ndo akufanyie usafi.... Kipindi unachafua ndani ulichafua na yeye?!Ngono ni ziada sana kwenye ndoa. Hapo jamaa hana mwanamke kbsa na akimuoa basi atapata tabu sana.
Nilikuwa na wa hivyo nikapiga chini mapema. Demu yeye ni kuangalia muvi na kusikiliza muziki tu hata kufanya usafi hapana.
[emoji3514][emoji3514]umejibu vzuri mamaTafuta house girl
We jidanganye....mwanamke yoyote yule ana sifa za kuolewa..... BINADAMU awez kukosa vyote na kupata vyote..... Ye huyo kaka kama awez kumuoa basi ataolewa kwingine.... Pia unaweza kukuta huyo unaesema ni wa kumla tu mbususu yeye ndo akawa anakukula ww[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii dunia bn
Ww ndo jidanganye wife material ulimuona wapi.... Hivi unawajua wanawake vzuri anaweza kua wife material mbele ya macho yako lkn hujui moyoni anatarget zipi.... Wanawake wote ni wife material sema inategemea yupo na nani na anahitaji nin... Kua makin utaliwa[emoji849]Wanawake wapo wa aina mbili
1. Wenye sifa ya kuolewa (Wife material)
2. Ambao hawana sifa ya kuolewa (Siyo wifi material)
Jidanganye binti kuwa ukiliwa mbususu umeolewa. Kuna wanawake wapo kwa ajili ya starehe tu. Siyo kila mwanamke anasifa ya kuolewa.
😂😂Hivi wanawake wa hovyo kama hao huwa mnawatoa wapi?
Ww ndo jidanganye wife material ulimuona wapi.... Hivi unawajua wanawake vzuri anaweza kua wife material mbele ya macho yako lkn hujui moyoni anatarget zipi.... Wanawake wote ni wife material sema inategemea yupo na nani na anahitaji nin... Kua makin utaliwa[emoji849]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] makubwa tena haya hapa shughuli ya kisomo inahitajikaKuolewa siyo kazi rahisi kama unavyofikiri. Siyo kila mwanamke ni wife material. Haijalishi yupo na nani? Endelea kwenda kwa jamaa, ukifika angalia muvi, sikiliza muziki na ukichoka lala. Ukijipa matumaini atakuoa. Utasubiri sana.
Kuna baadhi ya Wanawake wanakasumba kama yako wanasema hawezi kufanya usafi mpaka aolewe.
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]Utashangaa kanaitwa Daisy!
Mwanamke mvivu huendana na kuwa mchafu, jeuri na wasiolenda wageni hasa wa upande wako wewe..nafikiria sanaa hii inshu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] makubwa tena haya hapa shughuli ya kisomo inahitajika
Kwakweli, maana hapa mwanaume ndio anaonekana mvivu na mchafu.Kuna watu wanapenda kujipa umuhimu wasiokuwa nao.