Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

Drazz

Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
12
Reaction score
33
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
 
Huyo ndio yeye halisi, mwanzoni kabla ya kupata alichopata alikuwa anakuigizia. Sio kwa ubaya ila kaa kijanja jiandae lolote linaweza tokea kwa dalili hizo.

Kingine mkuu usiipigie hesabu na matumizi fedha ambayo sio yako, hela ya mwanamke ni chungu sana pambana ujiimarishe kiuchumi huyo muda wowote anakuwa sio wako.
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Achana naye. Mostly mapenzi ya chuo huwa yanaisha mkirudi kitaa halafu we mwanaume mambo yakawa magumu mwanamke apate asipate mwisho huwa anatafuta penye unafuu. Sasa hivi yeye ana kazi, anakutana na vijana wenye kazi, wewe ushakuwa mzigo. Achana naye anza kujitafuta.
 
Kua na mwanamke aliekuzidi/mko sawa nae kiumri na mapenzi yenu mliyaanza kipindi mko na 18-25 yrs, mkikuakua mara nyingi mademu huanza kuleta ngebe kwa kuona wewe ni mtoto, haatahili kua na ww, sijui atazeeka na ww utakua bado kijana, atataka mtoto/kuolewa mapema kabla hujajipanga, inshort huwa ni pasua kichwa.
 
Na si kitambo kirefu maji na mafuta vitajitenga. Jiandae kimwili na kiakili,utaona karibia mapicha yooote ya kuumiza. Anza kutafuta kampani mapema (asiwe mpenzi mwingine) itakayokusaidia kupunguza msongo wa mawazo maana huko ndiko unakoelekea.
Moyo ukipenda hata redflag uwa tunazidharau ila hapo kaa tiyari!
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Ukiweza anua tanga usonge mbele.. La sivyo atakupasua sana
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Una miaka 25 unahangaika na mapenzi dogo? Utatoboa kweli 40?
Ni kupe tu habari mbaya huyo demu si wako.

Mapenzi ya utotoni ni Nadra sana kuwa na future.

Dogo kapata kazi sasa anekuwa na mazingira mapya ya exposure....Mind ime open. Pengine wala sio kwamba anakusaliti bali anataka kuweka mkazo kwenye personal professional development.

Anakuona wewe umekaa kihasara hasara unawaza mapenzi kila wakati.
 
Back
Top Bottom